EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,702
Nimefanya miamala kadhaa hakuna meseji inarudi ila hela mmekata.
Kuna mtu nimemtumia 5000 imeingia kimyakimya.
Sasa hii laki nimetoa kwa wakala naipataje na nina haraka zangu.
Wakala haoni meseji na mimi sioni meseji ila hela mmekata.
Nipo stranded napoteza mda kusubiria meseji irudi na nina matumizi ya msingi.
Namba ya huduma kwa wateja pia haipatikani.
Kuna mtu nimemtumia 5000 imeingia kimyakimya.
Sasa hii laki nimetoa kwa wakala naipataje na nina haraka zangu.
Wakala haoni meseji na mimi sioni meseji ila hela mmekata.
Nipo stranded napoteza mda kusubiria meseji irudi na nina matumizi ya msingi.
Namba ya huduma kwa wateja pia haipatikani.

