Chimo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2008
- 714
- 360
Nitasikitika mamlaka Kama hazitakaa kuichukulia hatua kali za kisheria kampuni hii ya mawasiliano ya Simu za mkononi ya Airtel hapa nchini kwetu kwa wizi.
Airtel wafanyakazi wenu wasio waaminifu hawawezi kuzibeba wala kuwa Na Dhamana baina yao na sisi wateja wenu bali ni nyie waajiri wao kwa kushindwa kuwa waangalifu mnapowapa ajira wezi na wasio waaminifu nafasi kwenye kampuni yenu Airtel wamekuwa wezi Hasa kwenye upande wa Bando zao (Bundles) tena bila aibu hivi nyie wafanyakazi kwanini hamkuwa wezi kipindi bando zikiuzwa na kampuni yenu kwa bei poa na kwa wingi wa MBs Na Ma GB Mnakuja kuwa wezi kipindi hichi Kampuni imepandisha bei?
Kwa hali hii bora nitafute mtandao mwingine huku nikitafuta Simu yenye uwezo wa kutumia line mbili (Duos) huku nikibaki na line lenu kwa ajili ya kupokelea Ni Ujinga kuendelea kununua Bando linalotuniwa na ma Super Users wenu kwenye Server zenu bila aibu unanunua GB 2 Ndani ya masaa mawili imekwisha kweli? Sijadownload chochote wala kuUpgrade kuUpdate App yoyote Huu wizi pelekeni India
Airtel wafanyakazi wenu wasio waaminifu hawawezi kuzibeba wala kuwa Na Dhamana baina yao na sisi wateja wenu bali ni nyie waajiri wao kwa kushindwa kuwa waangalifu mnapowapa ajira wezi na wasio waaminifu nafasi kwenye kampuni yenu Airtel wamekuwa wezi Hasa kwenye upande wa Bando zao (Bundles) tena bila aibu hivi nyie wafanyakazi kwanini hamkuwa wezi kipindi bando zikiuzwa na kampuni yenu kwa bei poa na kwa wingi wa MBs Na Ma GB Mnakuja kuwa wezi kipindi hichi Kampuni imepandisha bei?
Kwa hali hii bora nitafute mtandao mwingine huku nikitafuta Simu yenye uwezo wa kutumia line mbili (Duos) huku nikibaki na line lenu kwa ajili ya kupokelea Ni Ujinga kuendelea kununua Bando linalotuniwa na ma Super Users wenu kwenye Server zenu bila aibu unanunua GB 2 Ndani ya masaa mawili imekwisha kweli? Sijadownload chochote wala kuUpgrade kuUpdate App yoyote Huu wizi pelekeni India