Airtel hawakamatiki kwa vifurushi murua

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,894
14,353
Hamjambo wakuu?

Back to the topic,kila siku binadamu hutafuta na namna ya kupunguza gharama katika kila jambo,binafsi katika mawasiliano Mimi ni napenda sana kutumia airtel kulingana na unafuu wanaoutoa katika mawasiliano yao

Leo katika pita pita zangu nimegundua kuwa airtel hakamatiki kwa Tanzania katika vifurushi vya vya dakika za mitandao yote

Angalia hapa ,vifurushi vyote vina thamani ta shilingi 10,000/= kwa mwezi kwa mitandao miwili,hebu tupate toka Vida,zantel ,ttcl nk ili tujue nani zaidi
Screenshot_20200217-215028.jpeg
Screenshot_20200217-214900.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Kweli napenda kuchukua fursa hii kuipongeza kampuni ya Airtel Kwa vifurushi murua Na Kwa Kweli wako fair sana big up sana air tel , si hekima wala ubinadamu kusema vibaya kampuni za watu Ila kampuni fulani ukiweka kifurushi cha shilingi 10 elfu Kwa Simu mbili unaweza kuambia imeisha hata umerekodi matumizi Siku hizi siwatumiii Tena hiyo kampuni fulani , Ila Airtel Kwa Kweli hongera sana sana nyie ndio mnajali wateja wenu Asante sana Airtel


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimewangalia voda nao wanajikongoja,wao wana dk 600 kwa mitandao yote kwa nwezi
Kwa Kweli napenda kuchukua fursa hii kuipongeza kampuni ya Airtel Kwa vifurushi murua Na Kwa Kweli wako fair sana big up sana air tel , si hekima wala ubinadamu kusema vibaya kampuni za watu Ila kampuni fulani ukiweka kifurushi cha shilingi 10 elfu Kwa Simu mbili unaweza kuambia imeisha hata umerekodi matumizi Siku hizi siwatumiii Tena hiyo kampuni fulani , Ila Airtel Kwa Kweli hongera sana sana nyie ndio mnajali wateja wenu Asante sana Airtel


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kusahau muda wa mwisho kuisha vifurushi vyao ni saa sita usiku tuu hata masaa 24 yakiwa yamepita, hiyo ni kwa siku

Njia yakupunguza zaidi gharama zao kwa wale wenzangu na mimi ni kukopa maana utapata Mb300 kwa 574 huku ukinunua kifurushi cha internet kwa 500 utapata Mb 150 tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Kweli napenda kuchukua fursa hii kuipongeza kampuni ya Airtel Kwa vifurushi murua Na Kwa Kweli wako fair sana big up sana air tel , si hekima wala ubinadamu kusema vibaya kampuni za watu Ila kampuni fulani ukiweka kifurushi cha shilingi 10 elfu Kwa Simu mbili unaweza kuambia imeisha hata umerekodi matumizi Siku hizi siwatumiii Tena hiyo kampuni fulani , Ila Airtel Kwa Kweli hongera sana sana nyie ndio mnajali wateja wenu Asante sana Airtel


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtandao mbovu watu wanahama internet, networking hovyo tena mjini hapa dsm kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom