hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,374
- 73,255
chaaaa ...hahaaaaHata mie huwa nafikiri ni me
chaaaa ...hahaaaaHata mie huwa nafikiri ni me
like seriously !!!? huyo sio mwanamke aiseeee "" kama mchezesha vicoba ..kila mtu anamchangia geeezni
shakutana nayo hii.
uzombi mtupu huu..
hahaha acha tu mkuu...imekuwa kawaida sana zama hizilike seriously !!!? huyo sio mwanamke aiseeee "" kama mchezesha vicoba ..kila mtu anamchangia geeez
aisee..ndio yule shemeji Yetu wa juzi ....daaahh hao wahvyo cjawahi kutana nao mkuuMe mchumba wangu akikasirika huwa anachoma nguo na vitu nilivyo mnunulia so sometime huwa najiuliza huyu nikijaga kumuoa si nitakuta amesha ichoma nyumba au suluali zangu zote
hahaaaa kundi lako la kununa mwezi mzima ..mixer kulala na ovaroli kama engineering wa majengo """ daaahh kweli smart ana kazi sana""
lol ...huwa hauvunji vitu kweli wewe .....aiseee mwanamke wa aina hiyo na m'badilishia kitasa cha nyumba arudi kwao tu
Sijui kuna uhusiano gani, Zamani nilikuwa nalia mpaka natapika ila sasahivi fresh tuu nalia kavu kavu sema nakuwa nagugumia sana. Nadhani huwa inatokea tuuHasira zangu niza kulia
Alafu lazima ni tapike nisipo tapika haziishi
Sijui kuna uhusiano gan hapa
We ungekuwa mke wangu ningekutimua on the spot huwez nipayukia kama ngedere mm,hii naichukia kuliko zoteNamba mbili inanihusu...... Huwa naongea hata kutwa nzima
Hahaha! Mwatapika kutoa nyongoSijui kuna uhusiano gani, Zamani nilikuwa nalia mpaka natapika ila sasahivi fresh tuu nalia kavu kavu sema nakuwa nagugumia sana. Nadhani huwa inatokea tuu
Akikasirika analamba CHUMVI. 098723728 tuma ela fasta hiyo kabla mkeo haanza kula vumbiHasira ya mke wangu haipo hapa kamwe ..atakaye patia nampa 100000 cash
Daah hatari sanaHahaha! Mwatapika kutoa nyongo
Hahahhahahahaha haya maisha ya kuondoka na shungo za watu ulisikia wapi?Ungekua mke wangu weww shingo yako halali yangu
Potelea mbali,kuliko kukaliwa kichwani.Hahahhahahahaha haya maisha ya kuondoka na shungo za watu ulisikia wapi?
Taratibu mkuu utaozea segerea