Aina za hasira za wanawake

Aina za hasira za wanawake

Yaan sio

kukaliwa kuchwani ujue, hakuna raha kama masikizano baina ya wana ndoa. Utaifurahia nyumba na utaishi umri mrefu
Shida yangu iko kwa mwanamke anaetoka huko alikotoka kanuna halafu hasira anamalizia nyumbani
Kwakweli hatutaelewana.ila ukikasirika kwa kua nimekuuzi mimi,basi nitafikiria kidogo namna ya kukuweka sawa.ila nikikubembeleza kidogo uwe mwelewa,sio nikubembeleze sana maana
Nitagaiti.
 
Shida yangu iko kwa mwanamke anaetoka huko alikotoka kanuna halafu hasira anamalizia nyumbani
Kwakweli hatutaelewana.ila ukikasirika kwa kua nimekuuzi mimi,basi nitafikiria kidogo namna ya kukuweka sawa.ila nikikubembeleza kidogo uwe mwelewa,sio nikubembeleze sana maana
Nitagaiti.
Yaan wanaume jaman. Ila uko sawa halo ila bhana unibebembeleze had I nikuelewe
Sio unasema basis mamii yaishe ufikiri umebembeleza
 
Yaan wanaume jaman. Ila uko sawa halo ila bhana unibebembeleze had I nikuelewe
Sio unasema basis mamii yaishe ufikiri umebembeleza
Sasa si mpaka nikuite mamy! Yaani itategemea na kosa,nyie mna mauzi! Acha kabisa.huyo mwanamke nitakaempata itabidi niishi nae kwanza kabla ya ndoa,ili tusomane vizuri kwanza.ila wewe inaonekana unadeka,sasa ole wako!
 
Na napenda k
Sasa si mpaka nikuite mamy! Yaani itategemea na kosa,nyie mna mauzi! Acha kabisa.huyo mwanamke nitakaempata itabidi niishi nae kwanza kabla ya ndoa,ili tusomane vizuri kwanza.ila wewe inaonekana unadeka,sasa ole wako!
dekezwa sana
Hahahahahah yaan halo ndo nasikia raha nikibebembelezw
 
Ngoja niwafundishe kitu hapa chonde chonde mwanamke hata akikasirika please usimkalie kimya maana wanasemaga mwanamke kama pesa hata ukiutupa chooni itaokotwa tu
 
Hiyo namba NNE.ilikuwa inatokea kwa my partner Wangu wa class UDOM those days,nikawa nachat nae but one day Mme wake akaja kumcheki maana kammiss,ile usiku Mme kachukua simu yake kusoma msg anazikuta zangu sasa timbwili likaja alipoulizwa nani huyu.,,,dah aliingia period mda huo,,,,na mchezo ukaisha Mme kaenda kulala stand,,bafupisha coz ni bonge LA story. So mleta mada izo kweli zinatokea kila MTU ana zake style.
 
Mara nyingi kwangu ni no 1 nalia sana lkn sasa huwa nashangaa nyege zinapotokea nakuwa na nyege vibaya na nikibembelezwa tu itapigwa game kabambeee

adolay
 
1) Kuna mwanamke ambaye akikasirika huishia kulia tu

2) Lakini mwingine akichukia huongea sana muda wote mpaka ikukere

3) Mwanamke mwingine akikasirika ananuna, haongei, mtapishana kimya kimya mawasiliano kibubububu shavu limejaa kama kobra!

4) Mwingine akishikwa na hasira period ya ghafla ghafla inafuata

5) Kuna wanawake ambao ole achukie. Atachokishika usipokimbia anakutandika nacho halafu majuto baadaye

6) Mwanamke mwingne akikasirika, hasira zake zinaishia kwenye kuvunjavunja vyombo au saa nyingne kugombezagombeza wafanyakazi na watoto. Dizain hii huwa ni wale waliokosa kukidhiwa haja za kihisia na waume zao!

7) Mwanamke mwingne ole akasirike mtajuana kitandani panapo majaaliwa. Nakwambia utaungama yote

8) Kuna ambao wakitibuliwa hukimbia kufunga mabegi na kuondoka

9) Wapo ambao wakikasirika wanagoma kupika

10) Wengne wakikasirika wanaamua kwenda kulala kimya

11) Wanawake wengne wakikasirika tumbo linakata mpaka kupelekea kuharisha

12) Wapo ambao wakishikwa na hasira huingia kwenye maombi na kuugua kusikowezwa kutamkwa. Uchungu ukiisha wananawa uso na kwenda sokoni kuendelea na majukumu

13) Yuko ambaye akishikwa na hasira hucheka saana, hutajua kama amekasirika. Dizaini hii ni hatari sana anaweza kukudhuru kirahisi.

Je wewe unajijua uko kundi gani?

Wote tunatambua kama hasira hasara basi nyie waume zetu ukiona mke wako ili jambo limemkera na limemkasirisha tafuta mbinu yoyote yakuweza kulitatua tatizo na kumfanya mkeo aachane na zile hasira arudi ktk hali ya kawaida.

Sio mume umemkasirisha mkeo basi unajiona wewe ndio kidume hata kumbembeleza imekushinda sivyo ivyo hata mume unatakiwa kuwa MbunifuU sio kila siku ubembelezwe wewe tu hata mkeo ana nafasi yake katika ndoa.

Mwanamke ni dhaifu sana unaweza kufanya kitu kidogo tu na hasira zikaisha.
Tupendane, tuhurumiane, tusameheane, ili tufike mbali katika ndoa zetu.
Na sijuagi kwanini wanawake wanakasirika kasirika,sipatagi jibu,ila mimi mtu akikasirika akiwa karibu na mimi anaweza kufa,maana nitazidi kumkasirisha hadi aijue hasara ya hasira na apate kuitambua faida ya furaha
 
Back
Top Bottom