fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,256
- 3,889
Kuna moja cjaiona kuna manzi huku kitaa akizinguana na mumewe anamsubiri mumewe aende kazini huku nyuma anaita kirikuu anasafisha chumba chote anaenda kwao ila mume akirudi anamfata huko na wanarudi na vitu vyao maisha yanasonga


