Aina za hasira za wanawake

Aina za hasira za wanawake

itaje labda kaisahau..
Ukiniuzi sikwambii wala nini,ila ntawasha mziki kwa saut ya juu af na mi naimba,sikusemeshi na kila kitu,ukinisemesha jibu ntakalokujibu lazima ukaweke kikao kwenu kulidiscus
 
Ukiniuzi sikwambii wala nini,ila ntawasha mziki kwa saut ya juu af na mi naimba,sikusemeshi na kila kitu,ukinisemesha jibu ntakalokujibu lazima ukaweke kikao kwenu kulidiscus
😀😀
hatari sana hii
 
Bado,kuna huyu ambaye akikasikrika hutafuta simu na kuanza kusearch namba za ma ex boyfriend zake na kuanza kupanga miadi ya kufanya uovu kwa nia ya kukukomesha..

Wa dizaini hii nimekula sana
 
Hahaha. Ila hasira bana, mie hiyo namba moja ilitaka kunitawala halafu nikaiona sio kabisa sababu kila nikipatwa na hasira lazima macho yawe mekundu tu.

Niliyonayo kwa sasa hapo haipo kwa kweli. Teh
Ipi iyo
 
Bado,kuna huyu ambaye akikasikrika hutafuta simu na kuanza kusearch namba za ma ex boyfriend zake na kuanza kupanga miadi ya kufanya uovu kwa nia ya kukukomesha..
Huyo ni pumbavu sana, na itanitokea muda si mrefu nimeshaona taa nyekundu. Sio mke lakin ni GF tu.
 
Zangu zipo nyingi sana sasa inategemea ni ipi siku hiyo ipo zamu halafu ile kubwa haipo kwenye hiyo list
 
Back
Top Bottom