demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Tulitolewa kwa kuwa River United walikuwa bora Zaidi uwanjani dhidi yetu. Simba hawakuwa bora Zaidi dhidi yetu.Sasa huo ushindi wenyewe kwani mnaupata? Au kumfunga Simba basi kwako ndio ushindi ni aibu kua na mashabiki Kama nyie.Juzi tu tumetoka kutolewa na rivers United kwa kupoteza ndani na nje hiyo si aibu Bali tumekubali kuaminishwa eti tumetolewa kwakua aucho,djuma na mayele hawakucheza utetezi wa kijinga sana huu.