Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,926
- 3,951
Me kama mwana yanga napendekeza au kutoa ushauri kwa rais hersi kufanya sajili za wachezaji kama ifuatavyo.
1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.
2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.
Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .
Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.
Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.
Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,
Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.
Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.
Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.
Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.
1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.
2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.
Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .
Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.
Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.
Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,
Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.
Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.
Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.
Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.