Yanga inahitaji sajili 4 bora za uhakika ili kuwa na timu kamili

Jbst

JF-Expert Member
Nov 29, 2020
1,926
3,951
Me kama mwana yanga napendekeza au kutoa ushauri kwa rais hersi kufanya sajili za wachezaji kama ifuatavyo.

1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.

2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.

Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .

Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.

Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.

Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,

Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.

Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.

Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.

Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.
 
Me kama mwana yanga napendekeza au kutoa ushauri kwa rais hersi kufanya sajili za wachezaji kama ifuatavyo.

1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.

2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.

Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .

Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.

Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.

Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,

Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.

Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.

Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.

Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.

Mimi ni yanga na nimekuelewa vyema kabisa hakika umenena kitaalamu ila pia apo kwenye kocha mwishoni unaonaje uyu jamaa tukamuacha maana ni kama ana mbinu za kizamani kama moloko naona kocha hana trick nzuri ji rahisi sana kumsoma na kumjia na majibu
 
Yanga ilipoifunga Simba magoli 5, baadhi ya mashabiki wasiojua soka vyema wakavimba vichwa. Wakaona Yanga sasa imekamilika kwa kila kitu. Wakifikiri wataweza kuwafunga miamba mingine ya soka Afrika kirahisi tu. Bado kuna kazi kubwa ya kufanya ndani na nje ya uwanja ili kuifanya timu hii iwe miongoni mwa miamba ya soka Afrika. Na inawezekana endapo kila mdau wa timu hii atatimiza wajibu wake ipasavyo.
 
Kimsingi Kila mtu wa mpira anaweza kuyaona haya ila kocha Jana mbona alikuwa mzito sana kwenye sub ili hali nafasi ya Msonda ilikuwa inaonekana wazi na pia Mudathir
Game ya Jana Sure boy angeingia angekuwa na mchango sana ni vile tunashinda ila kiuhalisia kocha ni kipengele kidogo.
 
Yanga ilipoifunga Simba magoli 5, baadhi ya mashabiki wasiojua soka vyema wakavimba vichwa. Wakaona Yanga sasa imekamilika kwa kila kitu. Wakifikiri wataweza kuwafunga miamba mingine ya soka Afrika kirahisi tu.
Hapana mi nadhani huu mtizamo wako unaulazimisha wanayanga Kila siku haijalishi tutashinda au kushindwa bado huwa tunasema team Inahitaji striker kiungo mkabaji maana Mauya hatoshi beki namba 3 na winga haya yamekuwa yakisemwa sana ila kushangilia kuifunga Simba ni suala endelevu hadi April 3
 
Mkuu, mkuu, mkuu

Nimekuita mara tatu mkuu, pale kwa Moloko ni uozo mtupu, sielewi msimu huu mpya alibaki vipi.

Yanga hauna wings za maana kabisa, pale kwa mshambuliaji Mzize atafutiwe msaidizi, Konkoni na Musonda bado wanayumba.

Eneo la kati unamaanisha apatikane mtu kama Kamusoko?
 
Hapana mi nadhani huu mtizamo wako unaulazimisha wanayanga Kila siku haijalishi tutashinda au kushindwa bado huwa tunasema team Inahitaji striker kiungo mkabaji maana Mauya hatoshi beki namba 3 na winga haya yamekuwa yakisemwa sana ila kushangilia kuifunga Simba ni suala endelevu hadi April 3
Ni kweli, haya yamesemwa sana humu.
 
Skudu, konkoni na moroko wanatoka
Tunaingiza majembe mengine
Azizi ki ni mchezaji mkubwa pale yanga ndo maana coach hamfanyii sub ovyo
Anaweza fanya chochote muda wowote hadi ukashangaa
Ndo maana hata game imkatae Mesi au Ronaldo coach hafanyi sub kuwatoa
Coach Gamondi ni supper
 
Mimi ni yanga na nimekuelewa vyema kabisa hakika umenena kitaalamu ila pia apo kwenye kocha mwishoni unaonaje uyu jamaa tukamuacha maana ni kama ana mbinu za kizamani kama moloko naona kocha hana trick nzuri ji rahisi sana kumsoma na kumjia na majibu
Kocha mzuri huyu, aina yake ya mpira ni mzuri isipokuwa wachezaji waliokamilika hana. Kwenye upande wa safu ya ushambuliaji hana striker wa kujua kuji position na akapewa pasi mpenyezo. Pacome, Yao na Zengeli pamoja na Aziz Ki pekee ndio tegemeo wa kuleta matokeo.
Huyu kocha kama mapungufu aliyosema mleta mada kuhusu usajili utafanyiwa kazi na kuja watu watakaofiti timu itafika mbali sana.

Mechi ya jana Aziz Ki kachoka, max kachoka, Mzize kachoka, je kwenye benchi una mchezaji gani mwenye quality sawa sawa na hao wanaoweza kucheza dhidi ya Al Ahly?
 
Mkuu, mkuu, mkuu

Nimekuita mara tatu mkuu, pale kwa Moloko ni uozo mtupu, sielewi msimu huu mpya alibaki vipi.

Yanga hauna wings za maana kabisa, pale kwa mshambuliaji Mzize atafutiwe msaidizi, Konkoni na Musonda bado wanayumba.

Eneo la kati unamaanisha apatikane mtu kama Kamusoko?
Namaanisha aucho asogee awe Central midfielder atoke huku kwenye holding, asajiliwe holding midfielder akikosekana holding basi asajiliwe deffensive midfilder wa viwango
 
Yanga ilipoifunga Simba magoli 5, baadhi ya mashabiki wasiojua soka vyema wakavimba vichwa. Wakaona Yanga sasa imekamilika kwa kila kitu. Wakifikiri wataweza kuwafunga miamba mingine ya soka Afrika kirahisi tu. Bado kuna kazi kubwa ya kufanya ndani na nje ya uwanja ili kuifanya timu hii iwe miongoni mwa miamba ya soka Afrika. Na inawezekana endapo kila mdau wa timu hii atatimiza wajibu wake ipasanyo.
Toa mifano ni wapi Wadau hawajatimiza wajibu wao ili waweze kulifanyia kazi.
 
Kocha mzuri huyu, aina yake ya mpira ni mzuri isipokuwa wachezaji waliokamilika hana. Kwenye upande wa safu ya ushambuliaji hana striker wa kujua kuji position na akapewa pasi mpenyezo. Pacome, Yao na Zengeli pamoja na Aziz Ki pekee ndio tegemeo wa kuleta matokeo.
Huyu kocha kama mapungufu aliyosema mleta mada kuhusu usajili utafanyiwa kazi na kuja watu watakaofiti timu itafika mbali sana.

Mechi ya jana Aziz Ki kachoka, max kachoka, Mzize kachoka, je kwenye benchi una mchezaji gani mwenye quality sawa sawa na hao wanaoweza kucheza dhidi ya Al Ahly?

La mwisho ni kwamba msimu uliopita benchi la Yanga lilikuwa na mtu wa kuwasoma wapinzani (match analyst) lilikuwa pamoja na Nabi ila safari hii uongozi hawakufanya tena hivyo. Uongozi unapaswa kuajiri game analyst tena.
Yupo mtu wa kuwasoma wapinzani mkuu na ndo mtu wa kwanza kwenda Algeria kabla team haijasafiri
 
Skudu, konkoni na moroko wanatoka
Tunaingiza majembe mengine
Azizi ki ni mchezaji mkubwa pale yanga ndo maana coach hamfanyii sub ovyo
Anaweza fanya chochote muda wowote hadi ukashangaa
Ndo maana hata game imkatae Mesi au Ronaldo coach hafanyi sub kuwatoa
Coach Gamondi ni supper
Hapana aziz ki mechi ngumu hizi kina Al ahly anapswa kuanzia bench kwasabab yupo slow sana na hakabi. Mechi kama hizi haziitaji abiria uwanjan

Najiuliza pacome au maxi kwann mmoja asichezeshwe ile nafas ya aziz ki kwenye hizi ngumu? Pacome na max wana maamuzi mazur kulikl aziz
 
Me kama mwana yanga napendekeza au kutoa ushauri kwa rais hersi kufanya sajili za wachezaji kama ifuatavyo.

1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.

2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.

Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .

Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.

Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.

Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,

Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.

Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.

Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.

Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.
Good thinking
 
Kimsingi Kila mtu wa mpira anaweza kuyaona haya ila kocha Jana mbona alikuwa mzito sana kwenye sub ili hali nafasi ya Msonda ilikuwa inaonekana wazi na pia Mudathir
Game ya Jana Sure boy angeingia angekuwa na mchango sana ni vile tunashinda ila kiuhalisia kocha ni kipengele kidogo.
Sure Boy ni kikongwe mno hana tofauti na akina Scudo kiumri, au hujui kabla hajaja Yanga SC alichezea Azam SC miaka mingapi?


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom