NIlichojifunza katika mechi ya leo ya Yanga VS Geita Gold

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,035
144,387
Nimeangali clip za magoli mawili ya Yanga yalioyofungwa na Pacome na lile la Azizi k nimegundua yametokana na udhaifu unaofanana lakini hii inaweza kuwa ndio mbinu ya Yanga ya kimchezo.

Ukiangalia, magoli yote mawili ni matokeo ya mpira wa kasi wa Yanga unaolzamisha timu pinzani kukimbiza upepo kuelekea mbele na matokeo yake timu nzima inakimbia kwenda mbele huku wachezaji wa chache wa Yanga wakibaki nyuma wakiwa katika nafasi nzuri ya kupokea pasi mpenyozo kutoka mshambuliaji anaefanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wachezaji walio nyuma wakiwa hawajazongwa na inakuwab rahisii kufunga kwani ni vigumu kwa wachezaji wa timu pinzani kugeuka kwa haraka kuwakabili wachezaji wa Yanga waliobaki nyuma kidogo wakiwa almost peke yao/hawajazongwa.

Suluhisho:
Mnaposhambuliwa au mchazaji mmoja mwenye kasi anapokimbia na mpira kuelekea kwenye goli lenu, timu nzima msikimbilie mbele huku wenzenu wakibaki nyuma wakiwa hawajazongwa na hivyo inakuwa rahisi kupiga shuti wakipokea pasi mpenyezo kutoka kwa wachezaji/mchezaji anaekimbia kwa kasi na mpira akifanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wenzake walio nyuma huku wakiwa hawana wa kuwakaba mpira ukiwafikia.

Mimi sio mtalaamu wa soka, ila nilvyochunguza clip ya magoli ya Azizi na Pacome, hii ndio siri niliyoigiundua.

Angalai hii clip:


View: https://youtu.be/NthCx-SZ5Oo
 
Huwa inategemea na mpinzani. Kama unakumbuka goli la Kibu D dhidi ya Yanga lilitokana na counter attack waliyofanya Simba, hadi Yanga walibaki wachezaji wawili against wanne wa Simba
 
Nimeangali clip za magoli mawili ya Yanga yalioyofungwa na Pacome na lile la Azizi k nimegundua yametokana na udhaifu unaofanana lakini hii inaweza kuwa ndio mbinu ya Yanga ya kimchezo.

Ukiangalia, magoli yote mawili ni matokeo ya mpira wa kasi wa Yanga unaolzamisha timu pinzani kukimbiza upepo kuelekea mbele na matokeo yake timu nzima inakimbia kwenda mbele huku wachezaji wa chache wa Yanga wakibaki nyuma wakiwa katika nafasi nzuri ya kupokea pasi mpenyozo kutoka mshambuliaji anaefanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wachezaji walio nyuma wakiwa hawajazongwa na inakuwab rahisii kufunga kwani ni vigumu kwa wachezaji wa timu pinzani kugeuka kwa haraka kuwakabili wachezaji wa Yanga waliobaki nyuma kidogo wakiwa almost peke yao/hawajazongwa.

Suluhisho:
Mnaposhambuliwa au mchazaji mmoja mwenye kasi anapokimbia na mpira kuelekea kwenye goli lenu, timu nzima msikimbilie mbele huku wenzenu wakibaki nyuma wakiwa hawajazongwa na hivyo inakuwa rahisi kupiga shuti wakipokea pasi mpenyezo kutoka kwa wachezaji/mchezaji anaekimbia kwa kasi na mpira akifanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wenzake walio nyuma huku wakiwa hawana wa kuwakaba mpira ukiwafikia.

Mimi sio mtalaamu wa soka, ila nilvyochunguza clip ya magoli ya Azizi na Pacome, hii ndio siri niliyoigiundua.

Angalai hii clip:


View: https://youtu.be/NthCx-SZ5Oo

Umebanwa na mavi?
 
Nimeangali clip za magoli mawili ya Yanga yalioyofungwa na Pacome na lile la Azizi k nimegundua yametokana na udhaifu unaofanana lakini hii inaweza kuwa ndio mbinu ya Yanga ya kimchezo.

Ukiangalia, magoli yote mawili ni matokeo ya mpira wa kasi wa Yanga unaolzamisha timu pinzani kukimbiza upepo kuelekea mbele na matokeo yake timu nzima inakimbia kwenda mbele huku wachezaji wa chache wa Yanga wakibaki nyuma wakiwa katika nafasi nzuri ya kupokea pasi mpenyozo kutoka mshambuliaji anaefanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wachezaji walio nyuma wakiwa hawajazongwa na inakuwab rahisii kufunga kwani ni vigumu kwa wachezaji wa timu pinzani kugeuka kwa haraka kuwakabili wachezaji wa Yanga waliobaki nyuma kidogo wakiwa almost peke yao/hawajazongwa.

Suluhisho:
Mnaposhambuliwa au mchazaji mmoja mwenye kasi anapokimbia na mpira kuelekea kwenye goli lenu, timu nzima msikimbilie mbele huku wenzenu wakibaki nyuma wakiwa hawajazongwa na hivyo inakuwa rahisi kupiga shuti wakipokea pasi mpenyezo kutoka kwa wachezaji/mchezaji anaekimbia kwa kasi na mpira akifanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wenzake walio nyuma huku wakiwa hawana wa kuwakaba mpira ukiwafikia.

Mimi sio mtalaamu wa soka, ila nilvyochunguza clip ya magoli ya Azizi na Pacome, hii ndio siri niliyoigiundua.

Angalai hii clip:


View: https://youtu.be/NthCx-SZ5Oo

Sawa,
 
Huwa inategemea na mpinzani. Kama unakumbuka goli la Kibu D dhidi ya Yanga lilitokana na counter attack waliyofanya Simba, hadi Yanga walibaki wachezaji wawili against wanne wa Simba
Ahaaaaa
 
Nimeangali clip za magoli mawili ya Yanga yalioyofungwa na Pacome na lile la Azizi k nimegundua yametokana na udhaifu unaofanana lakini hii inaweza kuwa ndio mbinu ya Yanga ya kimchezo.

Ukiangalia, magoli yote mawili ni matokeo ya mpira wa kasi wa Yanga unaolzamisha timu pinzani kukimbiza upepo kuelekea mbele na matokeo yake timu nzima inakimbia kwenda mbele huku wachezaji wa chache wa Yanga wakibaki nyuma wakiwa katika nafasi nzuri ya kupokea pasi mpenyozo kutoka mshambuliaji anaefanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wachezaji walio nyuma wakiwa hawajazongwa na inakuwab rahisii kufunga kwani ni vigumu kwa wachezaji wa timu pinzani kugeuka kwa haraka kuwakabili wachezaji wa Yanga waliobaki nyuma kidogo wakiwa almost peke yao/hawajazongwa.

Suluhisho:
Mnaposhambuliwa au mchazaji mmoja mwenye kasi anapokimbia na mpira kuelekea kwenye goli lenu, timu nzima msikimbilie mbele huku wenzenu wakibaki nyuma wakiwa hawajazongwa na hivyo inakuwa rahisi kupiga shuti wakipokea pasi mpenyezo kutoka kwa wachezaji/mchezaji anaekimbia kwa kasi na mpira akifanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wenzake walio nyuma huku wakiwa hawana wa kuwakaba mpira ukiwafikia.

Mimi sio mtalaamu wa soka, ila nilvyochunguza clip ya magoli ya Azizi na Pacome, hii ndio siri niliyoigiundua.

Angalai hii clip:


View: https://youtu.be/NthCx-SZ5Oo

Mbona magoli yote yamefungwa kwenye mazingira magumu kuliko ulivyoelezea?
Kuanzia mtoa pasi hadi mfungaji wote wanakuwa wapo wanakabiliana na 'msitu' wa mabeki.
 
Nimeangali clip za magoli mawili ya Yanga yalioyofungwa na Pacome na lile la Azizi k nimegundua yametokana na udhaifu unaofanana lakini hii inaweza kuwa ndio mbinu ya Yanga ya kimchezo.

Ukiangalia, magoli yote mawili ni matokeo ya mpira wa kasi wa Yanga unaolzamisha timu pinzani kukimbiza upepo kuelekea mbele na matokeo yake timu nzima inakimbia kwenda mbele huku wachezaji wa chache wa Yanga wakibaki nyuma wakiwa katika nafasi nzuri ya kupokea pasi mpenyozo kutoka mshambuliaji anaefanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wachezaji walio nyuma wakiwa hawajazongwa na inakuwab rahisii kufunga kwani ni vigumu kwa wachezaji wa timu pinzani kugeuka kwa haraka kuwakabili wachezaji wa Yanga waliobaki nyuma kidogo wakiwa almost peke yao/hawajazongwa.

Suluhisho:
Mnaposhambuliwa au mchazaji mmoja mwenye kasi anapokimbia na mpira kuelekea kwenye goli lenu, timu nzima msikimbilie mbele huku wenzenu wakibaki nyuma wakiwa hawajazongwa na hivyo inakuwa rahisi kupiga shuti wakipokea pasi mpenyezo kutoka kwa wachezaji/mchezaji anaekimbia kwa kasi na mpira akifanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wenzake walio nyuma huku wakiwa hawana wa kuwakaba mpira ukiwafikia.

Mimi sio mtalaamu wa soka, ila nilvyochunguza clip ya magoli ya Azizi na Pacome, hii ndio siri niliyoigiundua.

Angalai hii clip:


View: https://youtu.be/NthCx-SZ5Oo

Short passes zimetumika kwa sababu Yanga ilikuwa na wachezaji bora kuliko Geita.
Long passes unayoisema haikutumika leo na siyo style inayotumiwa na waargentina.
Wajerumani na waholanzi au Europeans ukiondoa Spain na Ureno hutumia long balls.
Wazanzibar wengi hupenda long balls, pia Simba na makocha wengi watanzania hupenda long balls zinatumika against timu zinazoweka mpira chini.
Tangu Yanga wachukue wachezaji wa AS Vita na baadae Asec wamekuwa watu wa kuweka mpira chini.
Na Kuna mechi timu zitapigwa nyingi.
Mark my words.
 
Nimeangali clip za magoli mawili ya Yanga yalioyofungwa na Pacome na lile la Azizi k nimegundua yametokana na udhaifu unaofanana lakini hii inaweza kuwa ndio mbinu ya Yanga ya kimchezo.

Ukiangalia, magoli yote mawili ni matokeo ya mpira wa kasi wa Yanga unaolzamisha timu pinzani kukimbiza upepo kuelekea mbele na matokeo yake timu nzima inakimbia kwenda mbele huku wachezaji wa chache wa Yanga wakibaki nyuma wakiwa katika nafasi nzuri ya kupokea pasi mpenyozo kutoka mshambuliaji anaefanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wachezaji walio nyuma wakiwa hawajazongwa na inakuwab rahisii kufunga kwani ni vigumu kwa wachezaji wa timu pinzani kugeuka kwa haraka kuwakabili wachezaji wa Yanga waliobaki nyuma kidogo wakiwa almost peke yao/hawajazongwa.

Suluhisho:
Mnaposhambuliwa au mchazaji mmoja mwenye kasi anapokimbia na mpira kuelekea kwenye goli lenu, timu nzima msikimbilie mbele huku wenzenu wakibaki nyuma wakiwa hawajazongwa na hivyo inakuwa rahisi kupiga shuti wakipokea pasi mpenyezo kutoka kwa wachezaji/mchezaji anaekimbia kwa kasi na mpira akifanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wenzake walio nyuma huku wakiwa hawana wa kuwakaba mpira ukiwafikia.

Mimi sio mtalaamu wa soka, ila nilvyochunguza clip ya magoli ya Azizi na Pacome, hii ndio siri niliyoigiundua.

Angalai hii clip:


View: https://youtu.be/NthCx-SZ5Oo

Kama ni soka brother huwez kulichambua, jaribu kuchambua tembele
 
Sasa mbona unatoa siri ya kambi?
Nimeangali clip za magoli mawili ya Yanga yalioyofungwa na Pacome na lile la Azizi k nimegundua yametokana na udhaifu unaofanana lakini hii inaweza kuwa ndio mbinu ya Yanga ya kimchezo.

Ukiangalia, magoli yote mawili ni matokeo ya mpira wa kasi wa Yanga unaolzamisha timu pinzani kukimbiza upepo kuelekea mbele na matokeo yake timu nzima inakimbia kwenda mbele huku wachezaji wa chache wa Yanga wakibaki nyuma wakiwa katika nafasi nzuri ya kupokea pasi mpenyozo kutoka mshambuliaji anaefanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wachezaji walio nyuma wakiwa hawajazongwa na inakuwab rahisii kufunga kwani ni vigumu kwa wachezaji wa timu pinzani kugeuka kwa haraka kuwakabili wachezaji wa Yanga waliobaki nyuma kidogo wakiwa almost peke yao/hawajazongwa.

Suluhisho:
Mnaposhambuliwa au mchazaji mmoja mwenye kasi anapokimbia na mpira kuelekea kwenye goli lenu, timu nzima msikimbilie mbele huku wenzenu wakibaki nyuma wakiwa hawajazongwa na hivyo inakuwa rahisi kupiga shuti wakipokea pasi mpenyezo kutoka kwa wachezaji/mchezaji anaekimbia kwa kasi na mpira akifanikiwa kugeuka na kutoa pasi kwa wenzake walio nyuma huku wakiwa hawana wa kuwakaba mpira ukiwafikia.

Mimi sio mtalaamu wa soka, ila nilvyochunguza clip ya magoli ya Azizi na Pacome, hii ndio siri niliyoigiundua.

Angalai hii clip:


View: https://youtu.be/NthCx-SZ5Oo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom