Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,983
- 64,012
Nikitaka kukuona unatwerk nifanyaje?Ukisha lainisha kwanza viungo itakua easy ku twerk, maana kutwerk ni mazoezi na mazoezi ndio hayo.
Nikitaka kukuona unatwerk nifanyaje?Ukisha lainisha kwanza viungo itakua easy ku twerk, maana kutwerk ni mazoezi na mazoezi ndio hayo.
Mimi si twerk ila someone close to me does.Nikitaka kukuona unatwerk nifanyaje?
AsantNi kitu kisichopingika kuwa mtu kuwa na muonekano mzuri anahitaji kuwa na umbo zuri pia. Wanawake hasa waliozaa huwa na matumbo makubwa yanayoharibu muonekano wao mzuri. Mazoezi haya yatakusaidia kuwa na tumbo zuri (Flat belly).
Aina ya Mazoezi Yanayofanya Tumbo Zuri Bila ya Kuwa na Mtaalamu wa Mazoezi ya Kiuno (Waist Trainer):
Bicycle crunch ~> Lala chali huku mikono yako ikiwa nyuma ya kichwa, kunja magoti yako nyuzi 90 halafu fanya kiwiko cha kulia kikutane na goti la kushoto. Badili kila upande.
Triangle crunch ~> Piga magoti huku mguu wako wa kulia ukiwa umeunyoosha, Weka mkono wa kushoto chini, mkono wa kulia nyuma ya kichwa. Leta goti la kulia kwenye kiwiko cha kulia.
V-ups or knee hugs ~> Lala chali, nyoosha miguu na mikono yako, Jaribu kukutanisha miguu na mikono yako juu ya kiuno chako. Fanya hivyo walau mara 15.
Jack knife ~> Lala chali ikiwa ni pamoja na kunyooya mikono yako. Kuanzia hapo sogeza mkono wako wa kulia kushika mguu wa kushoto. Fanya hivyo pande zote walau mara 15.
Heel grabbers ~> Lala chali huku mikono ikiwa chini pia, inua kifua chako huku ukijaribu kushika visigino vyako kwa kila upande mara 15.
Side plank with twist ~> Lala ubavu, weka mkono wako mmoja nyuma ya kichwa kisha fanya kama unajaribu kuleta kiwiko chako chini. Fanya hivyo walau mara 15 kwa kila upande.
Asante kwa kunichekecha.Mimi si twerk ila someone close to me does.
na hua anafanya tukiwa me na yeye tu.
Lol
Ah ah ah najitahidi aisee, yaan mazoez inahitaj moyo, nafanya kidogo kidogo, natamani nilitoe vuupu, cz ni chini tu juu nipo vzr, yan kama nina kwashiorkor ah ah ah uhii, sasa sijui ni la uzazi uhiidivine acha kauvivu jitahidi
Nimeanza hii lakin nakuww mvivu, yan katumbo kachin kanakera sana uhii
Nimeacha mazoez ya tumbo maana sielew kama linapungua au linazidi,hivi sijui huwa nn jaman..kanakera
Mimi wala sisumbuki nalo kbs..hahahahaa....wansema ni tumbo la uzazi eti..Nimeacha mazoez ya tumbo maana sielew kama linapungua au linazidi,
Tumbo la chini gumu sana kuisha yaan juu nipo vizuri uhiii chin sasa kama yai.
Najitahid nivae nguo za kuniziba haka katumbo jeuri, nahakikisha nina gaun za kumwaga na mkanda nafungia juu, ah ah ah ya ndani siri yangu mtu akiniona anaweza asijue. Kamwil kenyewe kadogo tumbo sijui nimelitoa wap mwenzenu
Khuuuu huo uzazi tunao wachache tu ama, wengine mbona flat kabisa, natamanigi nguo zingine lakini ndio watu wanasema macho yaone roho ishinde tamaa.Mimi wala sisumbuki nalo kbs..hahahahaa....wansema ni tumbo la uzazi eti..
Khuuuu huo uzazi tunao wachache tu ama, wengine mbona flat kabisa, natamanigi nguo zingine lakini ndio watu wanasema macho yaone roho ishinde tamaa.