Aina mbili za Wakristo (wasoma Biblia)

Aina mbili za Wakristo (wasoma Biblia)

Rum 3:23-26​

kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu; wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu; ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake, ili aonyeshe haki yake, kwa sababu ya kuziachilia katika ustahimili wa Mungu dhambi zote zilizotangulia kufanywa; apate kuonyesha haki yake wakati huu, ili awe mwenye haki na mwenye kumhesabu haki yeye amwaminiye Yesu.



Maoni yangu.

Anayejua akina nani wataenda na akina nani hawaendi Mbinguni ni Mungu mwenyewe.

Sisi jukumu letu ni kumuamini Mungu na Yesu Kristo huku tukitenda yaliyo mema na kuishi kwa mapenzi na mwongozo wa Roho Mtakatifu.
dhambi unazozisema hazipo .......hakuna mtenda dhambi ata mu1 duniani hapa......kama unasema sheria hazipo .....basi ni dhahiri pia dhambi hazipo .....lbda kama hujui maana ya dhambi.........na mbinguni tutaenda wote tukale ugali uko maana si hukumu haipo......utatumia kigezo gani kuhukumu........maana sheria hazipo kuna neema tuu lazima wote twende tukajinafasi majuu uko.
 
dhambi unazozisema hazipo .......hakuna mtenda dhambi ata mu1 duniani hapa......kama unasema sheria hazipo .....basi ni dhahiri pia dhambi hazipo .....lbda kama hujui maana ya dhambi.........na mbinguni tutaenda wote tukale ugali uko maana si hukumu haipo......utatumia kigezo gani kuhukumu........maana sheria hazipo kuna neema tuu lazima wote twende tukajinafasi majuu uko.
Hakuna binadamu hajawahi tenda dhambi (kuvunja sheria), kwa hoja hiyo binadamu wote tungeenda motoni kwa kigezo hicho.

Ila kinachohitajika si kutenda dhambi kwa vile neema ipo bali tutii na kuutafuta ufalme wa Mungu kwa bidii huku tukijua matendo ya sheria pekee hayatoshi kutupeleka kwenye ufalme wa Mungu bali neema tu.

Mwa 6:5​

BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.

Kwa hali hiyo ya sisi kuwaza mioyoni mwetu maovu muda wote/mwingi nani angepona kwa kutegemea matendo ya sheria pekee?.
 
Hakuna binadamu hajawahi tenda dhambi (kuvunja sheria), kwa hoja hiyo binadamu wote tungeenda motoni kwa kigezo hicho.

Ila kinachohitajika si kutenda dhambi kwa vile neema ipo bali tutii na kuutafuta ufalme wa Mungu kwa bidii huku tukijua matendo ya sheria pekee hayatoshi kutupeleka kwenye ufalme wa Mungu bali neema tu.

Mwa 6:5​

BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.

Kwa hali hiyo ya sisi kuwaza mioyoni mwetu maovu muda wote/mwingi nani angepona kwa kutegemea matendo ya sheria pekee?.
neema tu?? " neema tu???? kama ni neema tu basi hatutaenda jehanam maana ni kigezo gani atatumia kuhukumu?
 
neema tu?? " neema tu???? kama ni neema tu basi hatutaenda jehanam maana ni kigezo gani atatumia kuhukumu?

Isa 55:8-9​

Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA. Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.



Maoni yangu binafsi.
Neema ya Mungu + Utakatifu(kuongozwa na Roho Mtakatifu) = Uzima wa milele.
 
Kingine kuhusu haki ipatikanayo Kwa Sheria na stage mpya ya neema alioileta YESU KRISTO ukisoma nyaraka zote za Mtume Paulo utakuwa competent kiasi itabidi Sisi tuwe wanafunzi kukusikiliza na kukufuatilia.Kwa ulichoandika nadhani kitabu kama WAKORINTHO hujakisoma au hujakielewa Kwa undani.
 
Kuhusu Sheria ni kwamba hatuwezi kuitekeleza Sheria Kwa nguvu binafsi za miili yetu...Tumepewa nguvu na msaada WA roho mtakatifu atusaidie kuitimiza Sheria...Maaña yake holly sprit anadeal na chanzo cha Ile dhambi iliowekewa sheria
Kuitimiza sheria gani? Roho mtakatifu hakuja ili kutusaidia sisi kuitimiza sheria/TORATI.

Roho mtakatifu alikuja ili kutufanya sisi tufikie lengo la TORATI. Lengo ni sisi kuwa WENYE HAKI.

Kuna njia mbili za binadamu kuwa mwenye haki/mtakatifu.
1. Kwa kufanya kazi inayoonekana yaani Kushika Torati ya Musa.
2. Kwa kuamini na Kupokea kazi ya Kristo Bure - Hii ndio inaitwa Neema.

Kwahiyo Roho mtakatifu si kwa ajili ya kutufanya sisi tushike Sheria, Bali Roho mtakatifu yupo kwa ajili ya kutufanya sisi tuwe wana bila kujali tunaishije.

Yaani leo naweza nikazini, pamoja na kwamba nimezini haiondoi Title yangu ya kuwa mwenye haki/mwana wa Mungu kwa sababu HIYO HAKI nimepewa bure haihusiani na matendo yangu ya jana wala Kesho.
 
Unajua kwanini nacheka? Haya ni maajabu. Ati Musa anamkimbia Farao anakimbilia Misri; kwani Farao alikua wapi??? Hii ni dalili ya kutokujua vitu😀
 
Yesu aliacha sheria ya kuowa mke mmoja, lakini zamani kidogo ndoa za wake wengi zililuhusiwa, au taraka zamani ilikua ruksa

Unafikir Mungu wa agano la kale na Mungu kipindi cha Agano jipya kabadilika Hekima na Akili zake ????

Mathayo 19:8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.

Unabisha sheria haikuwa na Mapungufu ???
ni kweli .sometimes kumwelewa MUNGU inaitaji neema.cha muhimu usitende dhambi.sheria huwa unatolewa kulingana na mzingira
 
Sheria inasema "Usifanye kazi yoyote" Lakini Yesu akawaambia Yeye na Baba yake wanafanya kazi hata siku ya Sabato.
kazi zinazozungumzwa hapa ni kazi za kuponya na kulinda ulimwengu.siyo kwenda kulima mashamba au kwenda dukani
 
sasa kama tunaokolewa kwa neema peke yake basi hakuna atakayeenda jehanamu.....utanipeleka jehanamu kwakigezo kipi? .......na utatumia nini kuhukumu.....? wote tunasepa pepon kula mabkra
NEEMA inayozungumzwa hapa ni ile hali ya kujua kuwa hili nilitendalo siyo mapenzi ya MUNGU na ukapata kibari cha kubia dhambi zako tenda ukimwambia YESU dhambi zako ili akusamehe.siyo wote wanaopata neema hii ya kujua kuwa ni wenye dhambi.mfano wa pili ni huu:MMOJA azaliwa kutoka kwa wazazi wapagani ,mwingine azaliwa kutoka kwa wazazi wakristo au waislam.hawa wawili hawezi kuwa neema sawa ya kumjua MUNGU.kumbuka kuwa wazazi ndio walimu wa kwanza kwa mtoto.
 
Ndiyo watakatifu ni wale washikao sheria na Imani ya Kristo.
Lakini lazima ujue Sheria ya Kristo ni ipi? Sheria ziko za aina mbili
1. Sheria ya Roho iletayo Uzima.
2. Sheria ya Dhambi iletayo mauti.

Rum 8:2 SUV
[2] Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.

Torati ndiyo iletayo dhambi na matunda yake ni mauti (Torati ndiyo Sheria ya Dhambi na Mauti).
Andiko hilo katika ufunuo limesema Amri/Sheria za Mungu na imani ya kristo, Amri za Mungu alizomaanisha hapo hapo siyo Amri kumi au TORATI.
Asante sana, Mwalimu
 
sasa kama tunaokolewa kwa neema peke yake basi hakuna atakayeenda jehanamu.....utanipeleka jehanamu kwakigezo kipi? .......na utatumia nini kuhukumu.....? wote tunasepa pepon kula mabkra
Shida inakuja sehemu moja, Majaribu na bado unaweza ukalijua hili na bado ukawa mpumbavu na kufanya michanganyo.

Unakuta Mkristo anaamini Muzimu inanguvu kuliko kanisa,
Usipojiongeza kumtafuta Mungu zaidi ni lazima Utakutana na majaribu makali yanayolenga imani yako direct.

Mbinguni unaweza kwenda lakini ukafa bila kufikia Zawadi ulizopewa na Mungu.

Nasikia Mbinguni kuna regular na VIP pia, kwahiyo sio swala la kuingia tu mbinguni kuna mengi mengine zaidi utatakiwa kutafuta ufahamu nayo ili walau ufikie hatima yako hapa duniani.

Naamini hiyo ni Desire ya kila mmoja wetu.
 
NEEMA inayozungumzwa hapa ni ile hali ya kujua kuwa hili nilitendalo siyo mapenzi ya MUNGU na ukapata kibari cha kubia dhambi zako tenda ukimwambia YESU dhambi zako ili akusamehe.siyo wote wanaopata neema hii ya kujua kuwa ni wenye dhambi.mfano wa pili ni huu:MMOJA azaliwa kutoka kwa wazazi wapagani ,mwingine azaliwa kutoka kwa wazazi wakristo au waislam.hawa wawili hawezi kuwa neema sawa ya kumjua MUNGU.kumbuka kuwa wazazi ndio walimu wa kwanza kwa mtoto.
dhambi zinatoka wap wakati sheria haipo?? kiufupi dhambi hazipo duniani.
 
Acha mabaya tenda mema, amri kumi zikuongoze katika kutenda mema uwapo duniani hayo mengine utachanganyikiwa Kila wakati🤣
 
Kuitimiza sheria gani? Roho mtakatifu hakuja ili kutusaidia sisi kuitimiza sheria/TORATI.

Roho mtakatifu alikuja ili kutufanya sisi tufikie lengo la TORATI. Lengo ni sisi kuwa WENYE HAKI.

Kuna njia mbili za binadamu kuwa mwenye haki/mtakatifu.
1. Kwa kufanya kazi inayoonekana yaani Kushika Torati ya Musa.
2. Kwa kuamini na Kupokea kazi ya Kristo Bure - Hii ndio inaitwa Neema.

Kwahiyo Roho mtakatifu si kwa ajili ya kutufanya sisi tushike Sheria, Bali Roho mtakatifu yupo kwa ajili ya kutufanya sisi tuwe wana bila kujali tunaishije.

Yaani leo naweza nikazini, pamoja na kwamba nimezini haiondoi Title yangu ya kuwa mwenye haki/mwana wa Mungu kwa sababu HIYO HAKI nimepewa bure haihusiani na matendo yangu ya jana wala Kesho.
hundred percent true
 
Acha mabaya tenda mema, amri kumi zikuongoze katika kutenda mema uwapo duniani hayo mengine utachanganyikiwa Kila wakati🤣
usisahau Dunia sio rafiki kwako, ni uwanja wa vita.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom