Engineer Hassan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 477
- 504
unakwama wapi?Mmhhh
unakwama wapi?Mmhhh
Sijakwama ila nashangaa kigumu kipi usichoelewaunakwama wapi?
"Tunaitolea povu kwa sababu ambao hawako hivyo hawakupenda kuwa hivyo" hapa ulimaaanisha nini ?Sijakwama ila nashangaa kigumu kipi usichoelewa
Changamsha akili yako weweee
hahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaNapenda sana mwanamke ambae yuko kama avatar ya Paprika![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nashangaa najikuta napendwa na short chesis tena za Pajero
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nilimaanisha hao aliowasema wamkalie mbali (soma huo uzi hapo juu) hawakupenda kuwa hivyo."Tunaitolea povu kwa sababu ambao hawako hivyo hawakupenda kuwa hivyo" hapa ulimaaanisha nini ?
Pole mkuu,dah!Asante mkuu nimekusikia.
Habari za wakati huu wakubwa.
Natanguliza pole zangu kwa wale mliokumbwa na ridandansi mubashara toka chamwino na ambao majina yenu yatachapishwa kuanzia kesho magazetini kwa kugushi vyeti na kuliibia hili taifa mabilioni ya shilingi.
Mimi binafsi nina vigezo vyangu inapokuja swala la mahusiano na wanawake, sifa yangu kubwa kwa mwanamke ni jinsi alivyo kiumbile, akili, pesa, sijui mafanikio gani hua sio kigezo kwangu, ila wanawake wa aina hii wakae mbali na mimi;
1. Mwanamke flat screen akae mbali na mimi, mwanamke ambae amepitiwa na msumeno wa chuma kwa nyuma akae mbali na mimi, hata awe na sura nzuri namna gani ila kama beki yake haiko imara huyo akae mbali na mimi.
2. Mwanamke short chesis, mwanamke mfupi hata awe mzuri na mafanikio ya aina gani ila kama amerefuka kwenda chini akae mbali na mimi, najua ghubu za watu short chesis mnazijua, hivyo mwanamke wa namna hiyo akae mbali na mimi.
3. Single moms[naomba ieleweke kua nawaheshimu sana single mamas, naheshimu sana wanawake], ila kwa kweli single moms wakae mbali na mimi.
Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na wala sina lengo la kumkashifu mtu hapa.
leo kaka umekomenti positive mpaka nimefurahi.Teh teh teh mapenzi nizaidi ya muonekanooo lkn.....hicho ndiyo huwa kitu cha kwanza Kuvutia mtuuu mpk anaamua kuanzisha na muhusika mahusianoooo........mi naona mtoa mada yupo sawa coz kila mtu anachaguo lakeeee
Sawa emmy nimekuelewa.Nilimaanisha hao aliowasema wamkalie mbali (soma huo uzi hapo juu) hawakupenda kuwa hivyo.
Umba wa kwako basi, halafu nyie wa hivi ndo mnakuwaga na hao unaojidai huwataki
punguza povu.Kaone kwahiyo kila nakopita uanifuatilia sindiyoooo.?????leo kaka umekomenti positive mpaka nimefurahi.
wewe ni ke?Kaone kwahiyo kila nakopita uanifuatilia sindiyoooo.?????
......haya piga goti uniombe radhi nani kskwambia mm ni me.?????? B
Naondoka nikiludi olee wako .. Naona lengo lako nikuniminyia fursa etii??!
Amiiin.Mkuje tuitikieni jamani
espy Shunie Sakayo mahondaw MADAM T cherie neisha unique dada everhurt LadyAJ stacia Inna Paprika BADILI TABIA thatsit cesilia Sweet16 Numbisa Mamylicious Sky Eclat sinyora na wengine wengi
Hatujakataa vigezo na masharti yake,Teh teh teh mapenzi nizaidi ya muonekanooo lkn.....hicho ndiyo huwa kitu cha kwanza Kuvutia mtuuu mpk anaamua kuanzisha na muhusika mahusianoooo........mi naona mtoa mada yupo sawa coz kila mtu anachaguo lakeeee
We mwenyewe umekamilika?Habari za wakati huu wakubwa.
Natanguliza pole zangu kwa wale mliokumbwa na ridandansi mubashara toka chamwino na ambao majina yenu yatachapishwa kuanzia kesho magazetini kwa kugushi vyeti na kuliibia hili taifa mabilioni ya shilingi.
Mimi binafsi nina vigezo vyangu inapokuja swala la mahusiano na wanawake, sifa yangu kubwa kwa mwanamke ni jinsi alivyo kiumbile, akili, pesa, sijui mafanikio gani hua sio kigezo kwangu, ila wanawake wa aina hii wakae mbali na mimi;
1. Mwanamke flat screen akae mbali na mimi, mwanamke ambae amepitiwa na msumeno wa chuma kwa nyuma akae mbali na mimi, hata awe na sura nzuri namna gani ila kama beki yake haiko imara huyo akae mbali na mimi.
2. Mwanamke short chesis, mwanamke mfupi hata awe mzuri na mafanikio ya aina gani ila kama amerefuka kwenda chini akae mbali na mimi, najua ghubu za watu short chesis mnazijua, hivyo mwanamke wa namna hiyo akae mbali na mimi.
3. Single moms[naomba ieleweke kua nawaheshimu sana single mamas, naheshimu sana wanawake], ila kwa kweli single moms wakae mbali na mimi.
Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na wala sina lengo la kumkashifu mtu hapa.