Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Habari zenu wana Jamvi, naombeni ushauri juu ya hizi fridge zilizopo madukani, ni aina gani ya fridge ni nzuri na inayodum mda mrefu, na ni kitu gani cha kuzingatia wakati wa kununua hizi fridge, maana nmeona kampuni nyingi sana kwa sasa zikiwa zinauza hizi bidhaa.
Mfano, jana nmetaka kununua kafriji kadogo ka getoni kwangu kanaitwa MrUK, nikaona ngoja niulizie kwanza wazoefu, nawasilisha
Asanteni.
View attachment 1764797
View attachment 1764797
Mfano, jana nmetaka kununua kafriji kadogo ka getoni kwangu kanaitwa MrUK, nikaona ngoja niulizie kwanza wazoefu, nawasilisha
Asanteni.
View attachment 1764797