Una mke una una watoto yaani nikuulize una familia au msela nondoMimi hadi leo sijawahi ona umuhimu wa friji kwa matumizi ya nyumbani labda nitumie kama pambo LA nyumba.
Mimi hadi leo sijawahi ona umuhimu wa friji kwa matumizi ya nyumbani labda nitumie kama pambo LA nyumba.
Nahitaji kununua fridge ni brand gani nzuri ya kuendana na bajeti yangu ya laki 6?
Oukey mkuu nimekupata asante kwa ushauriBrand nyingi za china siku hizi zina ubora tu ambao hauna wasiwasi.
Boss, MoElectro, Hisense, Mr. Uk hizi utazipata kwa bei nzuri sana.
Ila sasa kama unataka yale yenye majina LG,SAMSUNG,WESTPOINT,HITACHI ni bora ila utapata ka Friji kadoogo.
Brand nyingi za china siku hizi zina ubora tu ambao hauna wasiwasi.
Boss, MoElectro, Hisense, Mr. Uk hizi utazipata kwa bei nzuri sana.
Ila sasa kama unataka yale yenye majina LG,SAMSUNG,WESTPOINT,HITACHI ni bora ila utapata ka Friji kadoogo.
Kwa bajeti ya laki 6 sio rahisi kupata hizi brands kubwaaaLG or Samsung
Mzee pole nilikuwa sijaona budget yako.Kwa bajeti ya laki 6 sio rahisi kupata hizi brands kubwaaa