Ni aina gani ya friji ya mtumba ni imara na nzuri

I give you technical advice

Nunua fridge dukani, hata kama ni la bei ndogo nunua dukani.

Advantage ni kwamba, mafridge ya kisasa ni Power saving unaweza kuta fridge inatumia units 150 kwa mwaka mzima.

Usijichanganye ununue mtumba, yanakula umeme hatari sababu ya wattage

Kuhusu brands wala usibabaike sababu yote ni ya kichina/ Sub standard tafuta unalo lipenda kwa rangi, umbo urefu or size/ capacity Eg. Beko, Mo electro, Aborder Rising, Boss, Sundar na uchafu mwingine wa kichina

Kama unataka Fridge genuine, nenda kwa wakala husika Eg. LG, Samsung, Hisense, Hitach, Sharp, Bose na most known brands nyingine.
 
I give you technical advice

Nunua fridge dukani, hata kama ni la bei ndogo nunua dukani...
Fridge yeyote ambayo hana chapa ya Energy star inatafuna umeme kichizi!
Hata ukaichane na makaratasi leo hii.

Mzee alinunuaga fridge flani ya kichaina ikawa inagonga umeme like a joke. Alinunua laki 6 kasoro...haikukaa hata miaka miwili ikajifia.

Next purchase akapanda Dau akachukua Samsung lenye rating ya Energy star. Aisee utofauti ni kama usiku na mchana. Ile ya kichina ilikuwa inatafuna umeme kinoma ila la Samsung very economical halili units kabisa.
 
Ila mafundi wengi wa bongo ni hovyo sana, fridge ikisumbua kidogo anavuruga mfumo wote utashangaa fridge inapiga kazi 24/7 hata usipofungua wiki nzima.
Fafanua mkuu, "hata usipofungua wiki nzima " maana nataka kupeleka friji kwa fundi
 
Friji najua ufanisi wake moja tu, Samsung na ni zuri sana lakini tatizo bei imechangamka. Nina uzoefu na freezers hope utaapply kwenye fridge, pia kabla usichukue freezer/fridge ya mtumba yenye miaka mingi. Wachache sana walikuwa wameanza kuapply energy saving, zipo freezer zinachukua umeme karibu mara mbili, pili freezer za mtumba kutoka Ulaya zina category ya nchi yao, yetu inatakiwa kuwa na label ya T(Tropical) kwa ufanisi bora.

BEKO: Zimekuwa designed kula umeme mdogo sana na kutunza baridi muda mrefu sana baada ya kuzima hasa usipofungua fungua. Downside halifanyi kazi vizuri kipindi cha joto kali pia kwa freezers zinakuja bila compressor fan, kipindi cha joto unaweza kufunga kuongeza ufanisi, kipindi cha hali ya hewa nzuriutalipenda sana na bei yake ya kawaida.

West Point: Zuri sana kwa ufanyaji kazi na energy saving, bei zake zimechangamka kidogo. Nadhani kwa freezers ndio zuri zaidi kwa haya yanayokuja kwa wingi nchini.

Delta: Sikushauri, umeme unaenda na ufanisi sio mzuri sana.

Hisense: Classic na bei imechangamka, unaweza kukuta appliance ni kubwa lakini ikachukua umeme kidogo na ufanisi mzuri. Mara nyingi fridge/freezer ujazo ukiwa mkubwa huchukua muda kugandisha.

Bosch: Hayapatikani sana nchini, ni bora kuliko yote kwenye list hii. Ukilipata hata la mtumba beba, alianza kutumia energy saving zamani. Bei imechangamka.

Mo electric: Sijui kafanyaje lakini ameweza, bei ya mtanzania.

Bruhm: Kwa freezer ukiweka vitu vingi vipya visivyo na ubaridi, compressor inafeli. Unasort kwa kuweka extra compressor fan pia usiliweke sehemu palipojibana sana, compressor inahitaji sana hewa.

Von: Yuko vizuri sana

Kama unataka kununua mtumba, usiende mathalan Magomeni pale ukachukua mtumba wa ulaya wa miaka na miaka, umeme mwingi au zilishabadilishwa compressor au pipes zimetoboka(fundi atakuja na suggestion usukie pipe ndani, usikubali, bora ukubali hasara)

Kwa freezer, mtumba huwa tunanunua ambayo mtu alinunua dukani then akaamua kuuza na mara nyingi sababu huwa biashara imekufa. Unaweza kumpa hela ya umeme aiwashe uifate asubuhi yake. Uikute ina alama ya barafu kuanzia juu mpaka chini, kama iliwekwa kitu kidogo, kiwe kimeganda vizuri.
 
Mie nina Uzoefu na American Fridge.

-Brand Super General though nimeona zipo Brand nyingine nyingi Tafauti.
-Side by side doors with Water dispenser and -cocktail maker.
-Size 700L

-Sifa zake Kwanza zinagandisha bila kuweka barafu kabisaa hata tone kwenye freezer.
-Ulaji wa umeme ni wa kawaida sana(Zina energy server Compressors) maana ukifika some freezing points inzajima, then itajiwasha automatically.
-Ina Space kubwa mno for a family.

Brand New ni bit expensive hadi 1.5 to 2m.
Ila mtumba waeza pata hadi 900k clean.
Ni Best Fridge aisee.

DSC_0908.jpg
20190829_094224.jpg
20190824_085540.jpg
 

Attachments

  • 20190831_043740.jpg
    20190831_043740.jpg
    44 KB · Views: 55
Mie nina Uzoefu na American Fridge.

-Brand Super General though nimeona zipo Brand nyingine nyingi Tafauti.
-Side by side doors with Water dispenser and -cocktail maker.
-Size 700L

-Sifa zake Kwanza zinagandisha bila kuweka barafu kabisaa hata tone kwenye freezer.
-Ulaji wa umeme ni wa kawaida sana(Zina energy server Compressors) maana ukifika some freezing points inzajima, then itajiwasha automatically.
-Ina Space kubwa mno for a family.

Brand New ni bit expensive hadi 1.5 to 2m.
Ila mtumba waeza pata hadi 900k clean.
Ni Best Fridge aisee.

View attachment 1573882View attachment 1573884View attachment 1573885
Majuisiiii ya azam matamuuu hayooo...
 
Friji najua ufanisi wake moja tu, Samsung na ni zuri sana lakini tatizo bei imechangamka. Nina uzoefu na freezers hope utaapply kwenye fridge, pia kabla usichukue freezer/fridge ya mtumba yenye miaka mingi. Wachache sana walikuwa wameanza kuapply energy saving, zipo freezer zinachukua umeme karibu mara mbili, pili freezer za mtumba kutoka Ulaya zina category ya nchi yao, yetu inatakiwa kuwa na label ya T(Tropical) kwa ufanisi bora.

BEKO: Zimekuwa designed kula umeme mdogo sana na kutunza baridi muda mrefu sana baada ya kuzima hasa usipofungua fungua. Downside halifanyi kazi vizuri kipindi cha joto kali pia kwa freezers zinakuja bila compressor fan, kipindi cha joto unaweza kufunga kuongeza ufanisi, kipindi cha hali ya hewa nzuriutalipenda sana na bei yake ya kawaida.

West Point: Zuri sana kwa ufanyaji kazi na energy saving, bei zake zimechangamka kidogo. Nadhani kwa freezers ndio zuri zaidi kwa haya yanayokuja kwa wingi nchini.

Delta: Sikushauri, umeme unaenda na ufanisi sio mzuri sana.

Hisense: Classic na bei imechangamka, unaweza kukuta appliance ni kubwa lakini ikachukua umeme kidogo na ufanisi mzuri. Mara nyingi fridge/freezer ujazo ukiwa mkubwa huchukua muda kugandisha.

Bosch: Hayapatikani sana nchini, ni bora kuliko yote kwenye list hii. Ukilipata hata la mtumba beba, alianza kutumia energy saving zamani. Bei imechangamka.

Mo electric: Sijui kafanyaje lakini ameweza, bei ya mtanzania.

Bruhm: Kwa freezer ukiweka vitu vingi vipya visivyo na ubaridi, compressor inafeli. Unasort kwa kuweka extra compressor fan pia usiliweke sehemu palipojibana sana, compressor inahitaji sana hewa.

Von: Yuko vizuri sana

Kama unataka kununua mtumba, usiende mathalan Magomeni pale ukachukua mtumba wa ulaya wa miaka na miaka, umeme mwingi au zilishabadilishwa compressor au pipes zimetoboka(fundi atakuja na suggestion usukie pipe ndani, usikubali, bora ukubali hasara)

Kwa freezer, mtumba huwa tunanunua ambayo mtu alinunua dukani then akaamua kuuza na mara nyingi sababu huwa biashara imekufa. Unaweza kumpa hela ya umeme aiwashe uifate asubuhi yake. Uikute ina alama ya barafu kuanzia juu mpaka chini, kama iliwekwa kitu kidogo, kiwe kimeganda vizuri.
Vipi kuhusu brand ya BOSS
 
Mie nina Uzoefu na American Fridge.

-Brand Super General though nimeona zipo Brand nyingine nyingi Tafauti.
-Side by side doors with Water dispenser and -cocktail maker.
-Size 700L

-Sifa zake Kwanza zinagandisha bila kuweka barafu kabisaa hata tone kwenye freezer.
-Ulaji wa umeme ni wa kawaida sana(Zina energy server Compressors) maana ukifika some freezing points inzajima, then itajiwasha automatically.
-Ina Space kubwa mno for a family.

Brand New ni bit expensive hadi 1.5 to 2m.
Ila mtumba waeza pata hadi 900k clean.
Ni Best Fridge aisee.

View attachment 1573882View attachment 1573884View attachment 1573885
Hii ni mtumba au mpya? Ulinunua wapi hii?
 
Ilinipa wakati mgumu sana kununua friji miezi kadhaa ilopita kwa ufupi kila mtu anamajibu ya anachokitumia.....
Baada ya kuhangaika nikaangukia kwa DELTA 1.2 unity kwa 24hrs sijutiii maamuzi ( matumizi yangu si makubwa pia)

JIRANI YANGU NA MTUMBA WAKE.
2 units per 1 hrs analalamika sanaaaaa sanaa.....

Kwa ufupi miluzi mingi humchanganya dog.... Fanya maamuzi binafsi sasa
 
I give you technical advice

Nunua fridge dukani, hata kama ni la bei ndogo nunua dukani.

Advantage ni kwamba, mafridge ya kisasa ni Power saving unaweza kuta fridge inatumia units 150 kwa mwaka mzima.

Usijichanganye ununue mtumba, yanakula umeme hatari sababu ya wattage

Kuhusu brands wala usibabaike sababu yote ni ya kichina/ Sub standard tafuta unalo lipenda kwa rangi, umbo urefu or size/ capacity Eg. Beko, Mo electro, Aborder Rising, Boss, Sundar na uchafu mwingine wa kichina

Kama unataka Fridge genuine, nenda kwa wakala husika Eg. LG, Samsung, Hisense, Hitach, Sharp, Bose na most known brands nyingine.
Nilinunua LG mwaka 2008 mpaka leo sijui maana ya fundi, ila ndo kwanza majuzi imeunguza taa ya ndani(bulb)
 
Back
Top Bottom