Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Wanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ujue huyo hataki vingine ila anataka chura tu.
 
Wanaume wa Tanzania au wanaume wa wapi?

Maana msije kukopi kwenye vijarida vya watu halafu mkatafsiri Kiswahili halafu mkawabandika wanamume wa Tanzania tabia zisizo zao bureee.

Ukianza na sababu ya kwanza tu, mwanamke mwenye msimamo ni tatizo katika jamii ya Tanzania.

Labda kama msimamo wake ni kumpenda mwanamme na kumsikiliza kwa kila kitu.
Nadhani kuna moja la muhimu sana:Mwenye hofu ya kweli ya Mungu bila kujali dini:Hii sifa inaweza kua kiungo muhimu sana za hizo sifa tajwa.Mimi binafsi ni muumini wa hii sifa! na ninaamini wote waliokutana na wanaweke wenye hii sifa watanielewa ninacho maanisha.
 
Nadhani kuna moja la muhimu sana:Mwenye hofu ya kweli ya Mungu bila kujali dini:Hii sifa inaweza kua kiungo muhimu sana za hizo sifa tajwa.Mimi binafsi ni muumini wa hii sifa! na ninaamini wote waliokutana na wanaweke wenye hii sifa watanielewa ninacho maanisha.
Mungu hayupo na kinachoongozwa na hofu bila uelewa ni mimba itakayozaa ujinga.
 
Back
Top Bottom