Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
kuitetea CCM inabidi uwe na akili ya maiti.













Siyo kweli ni uongo tupu, wafungaji wanao hama hama wamehame wote mia 400 kwa pamoja?Waziri mwenye dhamana ya tamisemi ameshalitolea maelezo ya kueleweka
Kumbe shule yenyewe haina muda na tunachokiona ni matokeo ya jamii za wafugaji zinazohamahama
Safari hii wananchi wamechoka mpka wataachia ngaziWakati vyama vya upinzani vikizuiwa kufanya siasa wewe unashangilia alafu sasa hivi unasema vije na suluhu.hiyo suluhu utaipata vip bila kuacha watu wawe huru kuongea?.Kwa akili za kawaida iko wazi kua ccm imeshindwa kufanya mambo ya msingi kwa ufanisi ndo maana wanaangaika nayale yanayowapa ufahari wa muda kidogo uku mambo ya msingi na muhimu yakiwashinda ndo maana hawataki wengine wawakosoe maana ni aibu.Mkisikia hoja ya katiba mpya ndo mnachanganyikiwa kabisa kwasababu mnajua uwezo wenu mdogo na hamna uwezo wakujenga hoja pale wananchi watakapokua na mamlaka yakuhoji na kuwajibisha.
Mnabakia wapi😅😅😅😅😅😅Wasichanjwe wafe waishe tubakie wenyewe