AIBU ya Mwaka: Wanafunzi 400 wanakaa chini

AIBU ya Mwaka: Wanafunzi 400 wanakaa chini

Wakati vyama vya upinzani vikizuiwa kufanya siasa wewe unashangilia alafu sasa hivi unasema vije na suluhu.hiyo suluhu utaipata vip bila kuacha watu wawe huru kuongea?.Kwa akili za kawaida iko wazi kua ccm imeshindwa kufanya mambo ya msingi kwa ufanisi ndo maana wanaangaika nayale yanayowapa ufahari wa muda kidogo uku mambo ya msingi na muhimu yakiwashinda ndo maana hawataki wengine wawakosoe maana ni aibu.Mkisikia hoja ya katiba mpya ndo mnachanganyikiwa kabisa kwasababu mnajua uwezo wenu mdogo na hamna uwezo wakujenga hoja pale wananchi watakapokua na mamlaka yakuhoji na kuwajibisha.

kina Nyerere, Nkurumah, Mandela..... wangekua wanadeka kama chadema sijui ingekuaje!?
Yaani chadema wao ni wa kulalamika tuuuu na kudekadeka na kudemka

Siasa inahitaji akili, ujasiri na umakini wandugu
 
What a shame? Majivuno, kuringa, kujikweza, kujiona wao ndio wao, kumbe kuna Malaika wasio na hatia wanakaa chini! Mnatoza tozo mjenge Barbara na watoto wetu wakae chini? Hivi tuna akili kweli sisi? Yaani ununue ndege kwa pesa cash na huku Wanao wanashinda darsani wakiwa wamekaaa chini?

Tuna tatizo kubwa sana akilini mwetu, tuna IQ ndogo sana sana



ccm ni janga la taifa
 
Hii yote inatokana na watu wanaojiita wabunge. Wanaotafuna fedha za wananchi masikini na kujinufaisha wenyewe huku watanzania tulio wengi tukibaki kwenye lindi la umasikini wa kutupwa.

Wabunge hawalipi kodi. Wabunge wanatunga sheria kandamizi. Ningekuwa na mamlaka ningelifutilia mbali bunge.

Na wanataka walipwe kwa $ nasema tena ccm ni janga la taifa
 
Siku tutakayojifunza kuja na suluhu badala ya lawama ndio siku tutakapoweza kujenga siasa yenye mashiko, vyama imara, jamii makini

Sisi ni watanzania na hawa watoto ni wa Tanzania sio wa chadema wala CCM

Binafsi ningewashauri wapinzani wawe wanatumia matukio kama haya kujijenga badala ya kulalama maana laumu bila mabadiliko yatakayogusa maisha ya hiyo jamii ni bure...

Natamani kujua hiyo shule iko mkoa gani na wilaya gani
Suluhu hapa ni kuuza ndege mbili pesa ikipatikana tununue madawati
 
What a shame? Majivuno, kuringa, kujikweza, kujiona wao ndio wao, kumbe kuna Malaika wasio na hatia wanakaa chini! Mnatoza tozo mjenge Barbara na watoto wetu wakae chini? Hivi tuna akili kweli sisi? Yaani ununue ndege kwa pesa cash na huku Wanao wanashinda darsani wakiwa wamekaaa chini?

Tuna tatizo kubwa sana akilini mwetu, tuna IQ ndogo sana sana

Aibu? Wewe ni Mtanzania? Unaijua Tanzania? Umefika wapi na wapi? Yaani hujaona watoto wamekaa chini? Basi kweli tuna shida, kuna sehemu zilipendelewa mno shule lami umeme, etc. Ndiyo hizi zinaomba Katiba mpya?
 
Tunapambana na Mbowe kwanza huko tutarudi baadaye
 
Mjinga yule. Wao wanakusanya kodi na kuzitumia ndio tunawahoji imekuwaje. Sasa kwasababu huwa hawana akili wanaleta hoja za kitoto za ofisi za cdm ambazo hazina madhara kwa mwananchinyeyote hata ongekuwa ni chini ya mwembe
Afadhali tunajenga kwa hela zetu kuliko nyie majizi, wehu na wendawazimu! Mmekaa damu za watu, one day you will pay it
 
Siku tutakayojifunza kuja na suluhu badala ya lawama ndio siku tutakapoweza kujenga siasa yenye mashiko, vyama imara, jamii makini

Sisi ni watanzania na hawa watoto ni wa Tanzania sio wa chadema wala CCM

Binafsi ningewashauri wapinzani wawe wanatumia matukio kama haya kujijenga badala ya kulalama maana laumu bila mabadiliko yatakayogusa maisha ya hiyo jamii ni bure...

Natamani kujua hiyo shule iko mkoa gani na wilaya gani
Kwa Hiyo hujasoma bandiko lote....!!
 
Wakati vyama vya upinzani vikizuiwa kufanya siasa wewe unashangilia alafu sasa hivi unasema vije na suluhu.hiyo suluhu utaipata vip bila kuacha watu wawe huru kuongea?.Kwa akili za kawaida iko wazi kua ccm imeshindwa kufanya mambo ya msingi kwa ufanisi ndo maana wanaangaika nayale yanayowapa ufahari wa muda kidogo uku mambo ya msingi na muhimu yakiwashinda ndo maana hawataki wengine wawakosoe maana ni aibu.Mkisikia hoja ya katiba mpya ndo mnachanganyikiwa kabisa kwasababu mnajua uwezo wenu mdogo na hamna uwezo wakujenga hoja pale wananchi watakapokua na mamlaka yakuhoji na kuwajibisha.
Mwambieni Huyo Dume Anayejifanya Jike Anajitoaga ufahamu kama Siyo Yeye
 
Siku tutakayojifunza kuja na suluhu badala ya lawama ndio siku tutakapoweza kujenga siasa yenye mashiko, vyama imara, jamii makini

Sisi ni watanzania na hawa watoto ni wa Tanzania sio wa chadema wala CCM

Binafsi ningewashauri wapinzani wawe wanatumia matukio kama haya kujijenga badala ya kulalama maana laumu bila mabadiliko yatakayogusa maisha ya hiyo jamii ni bure...

Natamani kujua hiyo shule iko mkoa gani na wilaya gani
Kama tukiitisha mikutano tunawekwa ndani, haya maswala tutayajadili saa ngapi?

Sisi ndiyo tunaokusanya kodi kutoka kwa wananchi?
 
Siku tutakayojifunza kuja na suluhu badala ya lawama ndio siku tutakapoweza kujenga siasa yenye mashiko, vyama imara, jamii makini

Sisi ni watanzania na hawa watoto ni wa Tanzania sio wa chadema wala CCM

Binafsi ningewashauri wapinzani wawe wanatumia matukio kama haya kujijenga badala ya kulalama maana laumu bila mabadiliko yatakayogusa maisha ya hiyo jamii ni bure...

Natamani kujua hiyo shule iko mkoa gani na wilaya gani
Sengerema Mwanza!
 
Acha ujinga mkuu. Hicho hakiongozi serikali inayokusanya na kutumia kodi zetu. Tunakihoji chama chenye dhamana ya kuongoza nchi wakati huo huo kikikusanya matrilioni ya kodi toka kwa wananchi kwanini hali iwe hivyo shuleni?
Kwani ile ruzuku waliyokuwa wanapata miaka yote unafikiri ni kodi ya nani?
 
Back
Top Bottom