James Hungury
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 825
- 612
- Thread starter
- #101
Mkuu wewe umenielewa vyema sanaNi kweli wa bongo kibao wanapiga kazi , Kwa sababu wamekidhi vigezo ,lugha English na Kiswahili , umemuelewa vizuri mleta mada.ni kwamba hao aliowakuta huko Zimbabwe Kiswahili akipandi sasa watamsaidiaje Mtanzania ambaye English imemkalia left?