Eliaona
Member
- Jun 22, 2009
- 72
- 56
umechanganya mada, ubalozi wa marekani tunategemea wawepo wamarekani ili aweze kuwasaidia wamarekani wenzake kwa ufasaha na wajiskie wapo nyumbani wawapo kwenye balozi zao nje ya nchi yao, sasa wewe unapotaka interview ya Kiswahili ubalozi wa marekani inakuaje kwani wamarekani lugha yao ni kiswahil. acha kua mzito.
Did you actually read the whole post Bro? And did you read the comment I was reacting to? Probably not! If you did, you'll understand exactly where my comment is from! I suppose I am much lighter than you are in this.
No offense given, not one taken.