Siku moja nilimtuma dada yangu anitongozee kadem fulani jirani yetu,si utani kipindi hicho bwana mdogo domo zege ,dada akafanya kazi yake akaniambia mtoto nimemsomesha na kaingia line kazi iliyobaki ni kwako! kiroo wacha kianze kudunda.
Sasa kichekesho nilipokutana na mtoto ' nikaanza mambo vipi(kiroo kinadunda),akasema poa,vipi ulipata ujumbe wangu kutoka kwa st?akajibu Ujumbe gani,nikamwambia kuna ujumbe nilimtuma,akasema sijapata ujumbe wowote,Aisee nilipanic mistari yote ikatoweka nikaachana nae.
Baadae nakutana na st ananiambia NIMEMTIA HAIBU AMBAYO HAJAWAI KUKUTANA NAYO.
Sasa kichekesho nilipokutana na mtoto ' nikaanza mambo vipi(kiroo kinadunda),akasema poa,vipi ulipata ujumbe wangu kutoka kwa st?akajibu Ujumbe gani,nikamwambia kuna ujumbe nilimtuma,akasema sijapata ujumbe wowote,Aisee nilipanic mistari yote ikatoweka nikaachana nae.
Baadae nakutana na st ananiambia NIMEMTIA HAIBU AMBAYO HAJAWAI KUKUTANA NAYO.