Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Wanathibitisha kwamba wamekata tamaa, mwaka 2010 walivyokuwa wanaonesha wabunge wao walivyokuwa wanashinda, waliwapamba kweli lakini sasa hakuna dalili ya hayo kurudi, ndio sabb tunahitaji wafumuliwe upya kabisa waache tu
 
TBC inatajiwa ifumuliwe upya, kuna watu hawastahili hata kuwa walinzi wa hii mali yetu

Mimi nashauri huyu.Mshana na Marini waondolewe, wapelekwe kwana Jkt miaka miwili wakajifunze uzakendo na ujasiriamali. Nina imani wakitoka huko watakuwa wameelewa Tanzania tunayoitaka.
 
Huyu mkurugenzi hajitambui, hata vyeti huenda feki. Utaachaje kuweka update za uchaguzi TV ya taifa? Ni ujinga wa hali ya juu kama anatafuta sifa na kujikomba
 
STAR TV baada ya kumuonyesha Magufuli anapiga kura sasa wanaendelea na DW
 
KtN ya Kenya inaonyesha full coverage wako Manzese, Ilala, Arusha, Dodoma, Mwanza, Zanzibar wakati TBC wanaongea upuuzi mtupu
 
KtN ya Kenya inaonyesha full coverage wako Manzese, Ilala, Arusha, Dodoma, Mwanza, Zanzibar wakati TBC wanaongea upuuzi mtupu

Hawa sio Watanzania
 

Attachments

  • 1445762024945.jpg
    1445762024945.jpg
    22.3 KB · Views: 189
  • 1445762063027.jpg
    1445762063027.jpg
    27.1 KB · Views: 182
Inawezekana wafanyakazi wa tbc pia hio hali hawaipendi sema system ndo inawapa order-so wao hawana cha kufanya zaidi ya ku.comply
 
Tukiacha ushabiki, TBC ni ya kufumua yote kabisa, Wallah Mshana akibaki pale TBC na yale matangazaji yao mazee hata mvuto hayana wamiliki wa hiv visimbusi watuondolee TBC, haiwezekani chanel ya taifa kuna jambo la kitaifa wao wanakomaa na kina Mariam Migomba na kina uncle T.
 
jamaa nakushauri mapema kama ni kujificha uanze kutafuta mapango ya kujificha mapema maanake lazima WAKUDAKE walisema ni kosa la jinai kupga picha kuonyesha nani umempigia pole sana.

Usitishe watu!
 
Back
Top Bottom