Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Sijawaelewa TV ya taifa kwenye jambo muhimu ka hili wameweka kipind cha watt....au ndo wanaogopa wataonekana wameegemea upande mmoja...?
 
Hii tbc haistahili kuitwa tv ya taifa yani tukio kubwa kama hili la uchaguzi hawana habari nalo? Tv binafsi zote zipo mstari wa mbele kuwajuza watanzani nini kinaendelea kwenye zoezi hili muhimu la kitaifa wao wanaonyesha vipindi vya ajabu ajabu ila wakati wa kampeni walikua mstari wa mbele na matangao na mikutano ya chama flani
Kweli tanzania inchi ya ajabu sana hii
 
Wonders never End...Only In Tanzania ...

Hiki ni kituo cha taifa ambacho kinaendeshwa kwa kodi zetu, sasa inakuwaje kinaonyesha mambo ya watoto badala ya jambo muhimu sana kwenye taifa letu wakati TV za watu binafsi zote zinaonyesha uchaguzi mkuu.
 
Ndio maana Mabadiliko ni muhimu haiwezekani tufikiri, tufanye na tusimamie vilevile tutegemee tofauti
 
TBC... channel ya Taifa.... hadi aibu.. wako busy na cartoons tupu... kama hakuna uchaguzi mkuu wa Taifa...!!

Channel zingine ITV, AZAM etc wanaonyesha hali ya kupiga kura ktk sehemu mbali mbali nchini..TBC wamepanic sana...!!!

Lowassaaaaa huyooooooooo...!!!
 
Watakuja Kutafutana Baada ya Mh. Rais wetu Lowassa Atakapoapiswa rasmi...Kuna uwezekano Watu Wafutwe kazi mara Moja..
 
Mbona kama tbc na startv wamesusia uchaguz hawaonesh update!
 
TBC na STAR TV, mbona wana mawenge.??
 
Tbc pale hakika hamna watu weny akili timamu weng pale ni mambumbumbuuu.
 
Tbc na star tv hawaweZ onyesha haya matukio live wataumbuka
 
Tutai reshuffle soon n it will the best channel ever but with different name n logo n stuffs
 
Back
Top Bottom