Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Yaani uchaguzi mkuu wa Tanzania mnaonesha katuni kweli
Upuuzi huu haujawai kufikiriwa
 
Kuwahoji wapiga kura ndiyo umakini wa TV? Ungelaumu kama hawatangazi matokeo iwapo yametolewa.
 
Well said,na Viwanja vyote vya mipira vinvyomilikiwa na CCM virejeshwe kwa Wananchi mara moja.
 
Tatizo ni kuwa mkurugenzi wake Clement Mshana siyo Mchagga
 
jamaa nakushauri mapema kama ni kujificha uanze kutafuta mapango ya kujificha mapema maanake lazima WAKUDAKE walisema ni kosa la jinai kupga picha kuonyesha nani umempigia pole sana.

kafie mbali huko!
 
Ndo walitaka wapewe haki ya kurusha matangazo ya telivisheni nchi nzima vituo vingine vipitie kwao!
Mshana Anika barua ya kustaafu uapatapo ujumbe huu!
 
Bora tu wasioneshe hamna mtu angeangaika kuiangalia m tv wao! Chanel za taifa ni Azam tv na ITV
 
hivi tbc huwa inaangaliwa na watu kweli....
 
Wameshajua wanaangukia pua,hivyo hawataki kupoteza rasilimali zaidi.
Ni kweli nifah wameshahisi harufu mbaya hawataki kuendelea kuharibu pua zao.(btw, nimetafuta kidude cha 'like' sikukiona)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom