Nelson Ngowi
Member
- Aug 16, 2015
- 32
- 11
Umeenda na kalam au zipo?
Siwezi kurudia maneno aliyokuambia Mkapa kuwa wewe ni mpumbavu na lofa!Elimu bure inakuhusu wewe
Ticki yako mbona ndogo sana!!wanaogopa kitu hiki hapa, hamna namna!
Siwezi kurudia maneno aliyokuambia Mkapa kuwa wewe ni mpumbavu na lofa!
wanaogopa kitu hiki hapa, hamna namna!
Shida ni kuwa, tbc1 ipo hadi kwenye Dstv, hivo inaonekana kimataifa sasa unafikiri wanatuchukuliaje?
Hivi huko mnatafuta nn mimi hata mwanangu wa 3 years haipendi tbc kabisa huwa anaangalia ubongo kids tuu kwisha.
Hahahaa