Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Kuna marafiki zangu kutoka Nigeria,Kenya na Uganda..kwamba mbona hatupati live coverage ya uchaguzi wa Tz kupitia TBC1? Nikashindwa kuwajibu
 
Mkurungenz mtendaji wa TBC anafaa kuchukuriwa atua.aiwezekan televion ya taifa inaonyesha katuni ni aibu ya mwaka 2015
 
Tunapata habari zote za uchaguzi kwa usahihi na bila woga mungu ampe baraka iliyo kuu reginald mengi kwa kusimamia hilo....
 
TBC na Mwenzake STAR TV ni vyombo vya habari kweli? Acheni U ITARAHAMWE toeni habari za wananchi.Siku moja HAKI itasimama.
 
Edo kawashika pabaya.... Wapi Dialo



WAPI Dialo Mzee wa TUTAKUKUMBUKA.Magufuli na JK hiyo statement yao ya kumkumbuka DIALLIO ilisababisha hasira kwa Wana ILEMELA ndiyo maana wamepiga kura kwa hasira.Wapi DR SLAA aka Mzee wa SERENA hotel.Ukimya wa Prof Lipumba nautambua
 
Pole zao, ndio maana Roma aliwaimba wakati meli inazama wao wanaonesha taarab
 
Wote wanaonesha uchaguzi wacha wajukuu zetu nao wafarijike na katuni.

Hongera sana TBC kwa kuwakumbuka dogoz.

Ukawa poleni, Lowassa kajinyea.
 
Back
Top Bottom