Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

TBC ni mfano halisi wa namna taasisi za serikali zifanyavyo kazi...

Hakuna kabisa ufanisi...
 
Mengi mwaka 1993 alizuiliwa kurusha matangazo Tanzania nzima mwisho ilikua Pwani alichokifanya ni kuweka Tv kubwa kwa baadhi ya mikoa hata Dar ilikuepo mnazi mmoja,mechi za mataifa huru ya Afrika tuliangalia kupitia izo kwa hiyo haya anayoyafanya alianza mbali na bila yy swala la kuwa na tv bora Tanzania Tungesahau..
 
Taasisi nyingi za serikali ndio zilivyo...hawataki kuwapa kazi damu mpya wenye kufikiri nje ya box....wamekaa kutafuna kodi zetu tuu
 
Wakati vituo makini kama Itv, Azam Two na Channel Ten wakiwa na vipindi ambavyo ni live updates za Uchaguzi Mkuu toka sehemu mbalmbali nchini, Televisheni yetu ya Taifa, Tbc1 inaonyesha katuni, aibu iliyoje?

Hakika huu ni ukiritimba mkubwa sana.

Ifike mahali haya mashirika ya umma yajiendeshe. Wanajisahau kwa kuwa wanajua vyovyote iwavyo kodi ya wananchi itawabeba.
 
Back
Top Bottom