Aibu JK azindua kidaraja Morogoro

Aibu JK azindua kidaraja Morogoro

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,738
Wakuu hii ni aibu ati mkuu wa nchi anakwenda kufungua kidaraja kama hicho???
006.jpg


JK na ujumbe wake na wenyeji wakipita juu ya daraja jipya la Mtombozi, Matombo, Morogoro vijijini alilozindua.
Picha zote: Ikulu
 
Wakosoaji wa mambo wanapoishiwa vya kukosoa bana, wewe unaona ni machuma na cement lakini wakazi wa maeneo ya mtombozi wanajua adha iliyo kuwepo, wajawazito wangapi walijifungua ngambo ya mto na wanafunzi wangapi walijeruhiwa na mamba hapo hicho ndicho kinachompa sababu rais wa nchi kwenda kushiriki na wana matombo kusherekea ukombozi huu.
 
Wakuu hii ni aibu ati mkuu wa nchi anakwenda kufungua kidaraja kama hicho???
006.jpg


JK na ujumbe wake na wenyeji wakipita juu ya daraja jipya la Mtombozi, Matombo, Morogoro vijijini alilozindua.
Picha zote: Ikulu

Hilo tu ni jibu tosha kabisa.
 
Wakuu hii ni aibu ati mkuu wa nchi anakwenda kufungua kidaraja kama hicho???
006.jpg


JK na ujumbe wake na wenyeji wakipita juu ya daraja jipya la Mtombozi, Matombo, Morogoro vijijini alilozindua.
Picha zote: Ikulu

Mkuu hicho "kidaraja" kimekuwa msaada mkubwa sana huko, si umeona hata majina yenyewe ya vijiji vilivyounganishwa "nacho"?
 
Hasara ya kuishi mjini.nenda uko kijijini kulikozinduliwa iko kidaraja alafu wambie haya uliyoandika kama watakuelewa.Mkuu adha walioipata mpaka wamejengewa iko unachokiita kidaraja wanamshukuru mwenyezi mungu.Nenda kwengine kaone
JAMANI TUSIPINGE KILA KITU
 
Wakosoaji wa mambo wanapoishiwa vya kukosoa bana, wewe unaona ni machuma na cement lakini wakazi wa maeneo ya mtombozi wanajua adha iliyo kuwepo, wajawazito wangapi walijifungua ngambo ya mto na wanafunzi wangapi walijeruhiwa na mamba hapo hicho ndicho kinachompa sababu rais wa nchi kwenda kushiriki na wana matombo kusherekea ukombozi huu.
Ndio hata asprin za shilingi mia zinaokoa maisha ya watu...lakini it doesn't worth kupiga la mgambo ,mshururu mkubwa mkoa mzima unasimama kufanya kazi kwa ajili ya kitu hicho...ili asee ametimiza ahadi...akitaka hivyo watataka kigoma iwe dubai kama ilivyo ahidiwa ,Watu wana hoji kwa kuwa ni kodi za wananchi zinatumika rais anapotembea .Lakini kwa dhati kabisa hongera Rais kwa kutimiza ahadi japo si kubwa ila moyo wakutimiza ahadi uendeleze na kwenye makubwa pia.
 
Hasara ya kuishi mjini.nenda uko kijijini kulikozinduliwa iko kidaraja alafu wambie haya uliyoandika kama watakuelewa.Mkuu adha walioipata mpaka wamejengewa iko unachokiita kidaraja wanamshukuru mwenyezi mungu.Nenda kwengine kaone
JAMANI TUSIPINGE KILA KITU
Wewe acha kuwa na mawazo mgando, kilichofanyika sio hisani bali ni wajibu wa serikali kwa mujibu wa mkataba wetu kabla hatujawachaguwa. na ukumbuke huo sio msaada bali ni kodi zetu wenyewe.
Watu wenye mawazo kama yako ni mzigo kuwa nao kwa Dunia ya leo.
 
Back
Top Bottom