Aibu JK azindua kidaraja Morogoro

Aibu JK azindua kidaraja Morogoro

Hicho kidaraja ni kwa ajili ya wapiga kura wake kulizindua ameonyesha kuwathamini sana sana wapigakura hao na kuwa karibu nao we mwehu kwani hawastahili kuzinduliwa daraja na rais wao nani anastahili ni nyie wa DSM au!!Rais ni wa wote hata akihudhuria mahafali ya chekechea ni sawa kabisa.acheni mambo ya ki*****nge!!
 
Wakosoaji wa mambo wanapoishiwa vya kukosoa bana, wewe unaona ni machuma na cement lakini wakazi wa maeneo ya mtombozi wanajua adha iliyo kuwepo, wajawazito wangapi walijifungua ngambo ya mto na wanafunzi wangapi walijeruhiwa na mamba hapo hicho ndicho kinachompa sababu rais wa nchi kwenda kushiriki na wana matombo kusherekea ukombozi huu.
bwa hahahahaha ukombozi?? ati? kijana soma vema...
 
mtoa maada hujui gharama za daraja! Hilo ni daraja si kidaraja
 
Wewe acha kuwa na mawazo mgando, kilichofanyika sio hisani bali ni wajibu wa serikali kwa mujibu wa mkataba wetu kabla hatujawachaguwa. na ukumbuke huo sio msaada bali ni kodi zetu wenyewe.
Watu wenye mawazo kama yako ni mzigo kuwa nao kwa Dunia ya leo.

wee mwenyewe ni mzigo tosha kwetu,maaana ujui uko wapi na wala sjui nsemeje,,,,,*,p,zako wee
 
Wanaotetea uwepo wa JK hapo kuzindua hlo daraja wajiulize je ni gharama kiasi gani imetumika kumpeleka rais na ujumbe wake kwenda na kurudi hadi huko,pengine ingetosha kuwajengea shule au zahanati.
hatukatai kujengwa daraja ila kwenda had matombo mh mh mh ni matumizi mabovu ya pesa ndopo tulizonazo
 
Nakumbauka mwandishi wa JITAMBUE (Tehenan) aliwahi andika "katika kila jambo, ni vile utavyotaka kuliangali... ukiutaka uzuri wake basi utauona mwingi na ukitaka ubaya wake pia utauona mwingi tu!". hii ndio siasa, unapotaka kukosoa jambo ambalo wengi wanaliona zuri bado unaweza kupata ubaya mwingi pia jambo baya kama utataka kulisifu basi utapata uzuri wake mwingi tu... ni siasa lakini mwisho wa siku maisha lazima yaendelee..
 
Wakuu hii ni aibu ati mkuu wa nchi anakwenda kufungua kidaraja kama hicho???
006.jpg


JK na ujumbe wake na wenyeji wakipita juu ya daraja jipya la Mtombozi, Matombo, Morogoro vijijini alilozindua.
Picha zote: Ikulu

sio uongo hata kama wanakijiji walipata shida namna hiyo..! mr presidaa anamambo mengi sana..! hicho ni kitu ambacho anaweza kutumwa hata mkuu wa mkoa mzee wangu huyu jamaa anatakiwa aende kwenye mambo makubwa sana sio vijimambo kama hivi..! ni aibu jamani
 
Kinachoitwa kidaraja lakini kimejengwa miaka 50 baada ya uhuru, muda wote huo sijui ni wakaazi wangapi wameteseka kwa kukosa huduma hiyo lakini bado mwingine anabeza...
 
..Na hao wanao semaga "Wanatomboka kikongo" ama Natomboka kikongo manake nini kitombo ama??


Mkuu haya maneno hayapo katika lugha ya asili ya watu wa maeneo hayo, yaani Kiluguru, sasa sijui yametokea wapi labda tusubiri tusikie kwa wanaofahamu. Pengine ni Kikongo hiki.
 
Kinachoitwa kidaraja lakini kimejengwa miaka 50 baada ya uhuru, muda wote huo sijui ni wakaazi wangapi wameteseka kwa kukosa huduma hiyo lakini bado mwingine anabeza...

Open up your mind.
Kinachozungumzwa hapa sio watu kujengewa daraja dogo au kubwa. ni kodi za waTZ zinazotumika katika msafara wa raisi kwenda kuzindua mradi kama huo (Rationality), wakati kuna mahitaji lukuki yanahitaji hizo fedha. Tafsiri yake ni kuwa fedha nyingi zinaelekezwa kenye posho na gharama za msafara kuliko kwenye Mradi husika Rejea habari hii halafu jaribu kuoanisha na gharama za msafara wa raisi
"Akiwa katika Kijiji cha Mtombozi, alifungua Daraja la Mtombozi lililopewa jina la ‘Daraja la Kikwete' lililojengwa kwa awamu tofauti kuanzia mwaka 2001 na kugharimu Sh milioni 310 pamoja na barabara ya kilometa 10.

Kukamilika kwa ujenzi wa daraja hilo, kulitokana na agizo lake la Juni 26, 2009 alipofanya ziara mkoani hapa na kufikishwa Mtombozi kuweka jiwe la msingi na kukuta ujenzi wake umesimama kwa zaidi ya miaka mingi.
" Source: Habari leo
 
Hata kingekua kikaravati cha mtaani hakuna ubaya kwa rais kwenda kukifungua, msitake kuweka notion kuwa rais afungue miradi ya gharama kubwa kubwa tu!
 
after 50 years of independence, this is what the presidaa has managed to do to the people!
 
kazi kweli kweli kuukubali umuhimu wa mkuu wa kaya...hasa anapojitahidi kujikomba kwa raia wake..
 
hapo ninaona kivuko tu!ingawa hatubezi kilchofanyika lakin siioni haja kubwa ya mh kutoka Dar hadi Moro kwa ajili ya hicho kivuko
 
[h=3]JK Azindua Madaraja Makubwa Mawili Morogoro Vijijini, Aweka Jiwe La Msingi La Soko, Ahutubia Kwenye Mvua Kubwa[/h]on Wednesday, January 18, 2012
1. JK akielekea jukwaani kuhutubia wananchi baada ya kuweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa soko la kijiji cha Mtamba, Morogoro vijijini.


2.JK akiongea baada ya kuzindua daraja la mto Mtombozi tarafa ya Matombo wilaya ya Morogoro mjini leo January 17, 2012


3. JK na RC akivuka daraja jipya la Magogoni katika barabara ya Kiganila-Mvuha, Morogoro Vijijini baada ya kulizindua.


4. JK na ujumbe wake na wenyeji wakipita juu ya daraja jipya la Mtombozi, Matombo, Morogoro vijijini alilozindua


5. JK na ujumbe wake na wenyeji wakipita juu ya daraja jipya la Mtombozi, Matombo, Morogoro vijijini alilozindua.
Picha zote: Ikulu
 
Back
Top Bottom