Mbunge wa Njombe Deo Fulikunjombe ameshangazwa na jeshi la polisi kutokuwa na vifaa vya kisasa na kulikejeli kwamba jeshi hilo sasa lina virungu tu ambavyo vinatumika kukandamiza Chama cha Demokrasia na maendeleo-CDM.
Nanukuu maneno ya Fulikunjombe aliyotamka:
''Aliitaka Serikali kuongeza fedha zaidi ili kuliwezesha Jeshi la Polisi kununua silaha za kisasa: Polisi hawana silaha zozote kuwawezesha kupambana na uhalifu na badala yake limeachiwa virungu ambavyo huvitumia kupigia wanafunzi, wakati wa migomo na maandamano ya Chadema, alisema Filikunjombe.
Source:Mwananchi
Nanukuu maneno ya Fulikunjombe aliyotamka:
''Aliitaka Serikali kuongeza fedha zaidi ili kuliwezesha Jeshi la Polisi kununua silaha za kisasa: Polisi hawana silaha zozote kuwawezesha kupambana na uhalifu na badala yake limeachiwa virungu ambavyo huvitumia kupigia wanafunzi, wakati wa migomo na maandamano ya Chadema, alisema Filikunjombe.
Source:Mwananchi