Mbunge Katamba atamba kutekeleza ahadi kwa Wananchi wake

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565
MBUNGE wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi, amesema ahadi ambazo aliwahidi wananchi kipindi cha uchaguzi Mkuu 2020 nyingi amezitekeleza na kuwaletea maendeleo wananchi wa Shinyanga.

Katambi ambaye pia Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu, amesema kutokana na machungu aliyonayo kwa wananchi wa Shinyanga, amekuwa akitafuta fedha ili kuteleza miradi mingi ya maendeleo,na kwamba ahadi ambazo alikuwa ameahidi nyingi ameshazitekeleza.

"Ahadi ambazo niliwahidi wananchi kipindi cha uchanguzi nyingi nimetekeleza na ninamshukuru Rais Samia kwa kuniunga mkono kero nyingi zimetatuliwa ikiwamo miundombinu ya barabara ambayo ilikuwa korofi na madaraja," amesema Katambi. wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Kitangili kwenye Mkutano wa hadhara.
 
MBUNGE wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi, amesema ahadi ambazo aliwahidi wananchi kipindi cha uchaguzi Mkuu 2020 nyingi amezitekeleza na kuwaletea maendeleo wananchi wa Shinyanga.

Katambi ambaye pia Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu, amesema kutokana na machungu aliyonayo kwa wananchi wa Shinyanga, amekuwa akitafuta fedha ili kuteleza miradi mingi ya maendeleo,na kwamba ahadi ambazo alikuwa ameahidi nyingi ameshazitekeleza.

"Ahadi ambazo niliwahidi wananchi kipindi cha uchanguzi nyingi nimetekeleza na ninamshukuru Rais Samia kwa kuniunga mkono kero nyingi zimetatuliwa ikiwamo miundombinu ya barabara ambayo ilikuwa korofi na madaraja," amesema Katambi. wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Kitangili kwenye Mkutano wa hadhara.
Mh naibu waziri knows politics very well 🐒
Anajua fika shida, matatizo, vipaumbele na mahitaji ya wanainchi wake

Anafanya kazi nzuri sana wizarani na Jimboni pake pia 🐒

akipotoka au akikosea anakaa kimya kuskiza vizuri ukosoaji wa makosa yake, anajishusha, anajisahihisha, anajirekebisha, anakuja na mipango na mikakati mipya, na ana songa mbele kuitekeleza 🐒

he deserves second term bila mbambamba 🐒
 
Back
Top Bottom