funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,119
- 31,639
Ngerengere ni Kitovu cha Biashara,Kilimo na Uchumi.
Hili ni eneo linalokuwa kwa kasi na hupokea wageni wengi ikiwemo kutoka Congo, Rwanda na Burundi.
Kwa umuhimu huo basi ni busara kuboresha huduma za jamii na kurahisisha uhifadhi na usafirishaji wa mazao. Ni ahadi zenye kutimizwa.
NGERENGERE WANATIKI X2