Katika kampeni za Chama cha Mapinduzi (#CCM) zinazoendelea leo Septemba 24, 2025 mkoani Lindi, Mgombea Urais kupitia Chama hicho Samia Suluhu Hassan katika jimbo la Mchimba ameonekana akiwasema ahadi za vyama pinzani ni za maigizo bali za CCM ndizo za kweli na halisi.
Soma pia: Mradi wa maji...
Mgombea Ubunge Jimbo la Uyui kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Shafini Sumar akiongea katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni katika Jimbo la Uyui kata ya Mabama Wilayani humo amewaomba Wananchi kumpa kura za kutosha Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi na kumchagua yeye mbunge ili akasimamie ilani...
Ngerengere ni Kitovu cha Biashara,Kilimo na Uchumi.
Hili ni eneo linalokuwa kwa kasi na hupokea wageni wengi ikiwemo kutoka Congo, Rwanda na Burundi.
Kwa umuhimu huo basi ni busara kuboresha huduma za jamii na kurahisisha uhifadhi na usafirishaji wa mazao. Ni ahadi zenye kutimizwa.
NGERENGERE...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa shilingi milioni 50 kwa ajili ya maendeleo ya Shule ya Sekondari ya Seminari Uru, mkoani Kilimanjaro.
Mchango huo umetolewa ili kuweka alama ya kumbukumbu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.