Power Benq
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 548
- 456
Mbona kuna picha za ujana ujana hiviAgnes Mkandya ni shemeji yake Magu kwa mke wake Magu wa kwanza,ambaye ni marehemu.Agnes Mkandya kwao ni Sengerema mjini kitongoji cha Ibisabageni.
Mbona kuna picha za ujana ujana hiviAgnes Mkandya ni shemeji yake Magu kwa mke wake Magu wa kwanza,ambaye ni marehemu.Agnes Mkandya kwao ni Sengerema mjini kitongoji cha Ibisabageni.
Labda mdogo wake mama Suluhu HassanUnamaanisha ni shemeji yake mkulu kwa mama J haya ngoja tupite wote
ushilawadu na kukosa majukumu tu hakuna cha ziadaNia na madhumuni ya huu uzi ni nini haswa? Au ndo promo
Msambwanda maana yake nini ?Na wanasema ana msambwanda ...
Ni mdogo wa marehemu mke wa kwanza wa Yohana.Sio mdogo wake ....acheni fix ...au ndio yale yale kasema Mange! ...
Mh hatari sanaMchapakazi sanaa huyu mama ,,
Ni ujinga kuamini kila upuuzi mnaolishwa. Kwaiyo leo huyo unayemuamini akikuita wewe ni shoga tuamini!
mboga za wakubwaNilikutana na huyu dada wa Kisukuma mwaka juzi chuo flani akimalizia shule.Sikuwa karibu naye kivile lakini nikanotisi kuwa ni muhasibu wa Halmashauri huko Tabora.Japo kiumri alikuwa ameshatoka kwenye usichana lakini hakuonekana kama ni mtu mzito kimajukumu ya ofisi.
Hamad nakutana na jina Agnesi Mkandya kwenye list ya Wakurugenzi wapya wa Magufuli.
Sikujua kama ni yeye mpaka leo nilipoiona picha akiwa na Wazira Ummy Mwaalimu akitambulika kama DED Gairo. Mwenye data zake atupe tupate kumjua
Mhh DED asiyejua kujieleza umemuona wapi, ninakumbuka awamu ya kwanza tulikuwa na jirani yetu Mhaya alikuwa DED, alipingana na Nyerere kuhusu mustakabali wa vyama vya Ushirika akiwa mkurugenzi alipigwa demotion kutoka National Director of Cooperative Associations to DED. Baba alikua mzuri sana kichwani.Huyu dada wa watu mtamuua
Maana kuna siku alilia mbele ya kamati ya bunge baada ya report ya CAG kusomwa na kuonekana pana uwizi mwingi sana hapo Gairo
Yeye badala ya kusema mambo hayo yalitokea akiwa hajapokea ofisi,ye akaanza kulia tu.Sasa kwa hili atabaki salama kweli?Nimeona vijana wanamchafua kweli huko mitandaoni