Tumuombe uzima na salama, maana mahabusu za polisi wetu na baadhi ya mbinu chafu za mahojiano, Mungu bariki Rwakatare sio tuu ni public fugure, bali pia anazijua hakizake mikononi mwa polisi!, angekuwa ni mwenzangu za mimi, saa hizi angekuwa umekwisha sema kila kitu!.
Pamoja na yote, mimi nimeiangalia clip ile na kujiridhisha ni "bonafide genuine!".
Pasco.
Niliwahi kutoa angalizo kwa baadhi yetu humu jf, wao ni hatters na wengine hadi ni prophets of the doom!, "only if wishes were horses!".
Pasco.
. Mkuu Erthrocyte, niko open minded kwa politics of hostilities na siasa za mbinu za medani, ambush, scheme,dupe etc ila level ya video na sound manipulation, huko bado hatujafika!, the clip is "bonafide genuine!", lets move to the next level, "was it a "solo thing" or a "party scheme?!".Kwanini usiumize kichwa kidogo kwamba huenda pia si mpango wake binafsi wala si mpango wa Chama chake , bali ni mpango wa Mwigulu ? Unazikumbuka zile Sms za kutengeneza alizosingiziwa John Mnyika ? Open your Mind Pasco !
kwani kishafungwa?si kakamatwa ili aisadie polisi,sasa mnatapa tapa nini,mi nadhani muda huu kama mnampenda mtuhumiwa mngejikita kuhangakia dhamana yake,muwaache watu wa upepelezi waendelee na kzi yao bila mashinikizo ya kisiasaNdiye haswa, unachokizungumzia usahihi wake uko wapi? sasa kama wapelelezi wanaona tu video wanakwenda kukamata halafu wanashindwa kufungua mashtaka huo ni upelelezi? Na wewe kwa akili yako kubwa unaona wamefanya kazi kweli kweli hapo? Pole sana Mkuu.
kichwani ukilewesha gongo la chadema utasema video fake.
nimeiona na taarifa za ndani kabisa toka chadema zinasema kweli rwakatale kanaswa akipika supu ya ukweli.
ludoviki huko baada ya kuminywa katapika yote.
mpaka ya ulimboka. subirini muone.
uliposema wahalifu wengine hawakuchukuliwa hatua iweje huyu ----- akamatwe ulikua na maana ganiAkili yako ipo sawa kweli?! Wapi nimesema Lwakatare aachwe?!Unreasonable stupid.....
Mkuu unaonekana kuwa na mawazo ya chuki za kichama. Sio wote tunaotoa maoni yetu hapa ni wana-Chadema. Useless and therefore waste of time.kwani kishafungwa?si kakamatwa ili aisadie polisi,sasa mnatapa tapa nini,mi nadhani muda huu kama mnampenda mtuhumiwa mngejikita kuhangakia dhamana yake,muwaache watu wa upepelezi waendelee na kzi yao bila mashinikizo ya kisiasa
kichwani ukilewesha gongo la chadema utasema video fake.
nimeiona na taarifa za ndani kabisa toka chadema zinasema kweli rwakatale kanaswa akipika supu ya ukweli.
ludoviki huko baada ya kuminywa katapika yote.
mpaka ya ulimboka. subirini muone.
uliposema wahalifu wengine hawakuchukuliwa hatua iweje huyu ----- akamatwe ulikua na maana gani
uliposema wahalifu wengine hawakuchukuliwa hatua iweje huyu ----- akamatwe ulikua na maana gani
Mungine huyu,mzee tatizo la lwakatare sio tuhuma wala kushtukizwa nyumbani kwake ni video inayomuonyesha akipanga njama za kufanya uhalifu,msijaribu kupotosha hii,naona toka juzi mko busy kujaribu kufanya cover up badala ya kutafuta motive behind iliyomsukuma lwakatare kupata mkakati huo huku akijirekodi!
you are right!!! ile ni genuine video. Mkuu Erthrocyte, niko open minded kwa politics of hostilities na siasa za mbinu za medani, ambush, scheme,dupe etc ila level ya video na sound manipulation, huko bado hatujafika!, the clip is "bonafide genuine!", lets move to the next level, "was it a "solo thing" or a "party scheme?!".
If solo, then Chadema should just disown him!, if not, then it's a "scheme", and that being so!, Chadema will be in for it!, and that being the case, then its a mess!, it'll need someone very bright withn to clear such a mess, kwa waliopo at the top kwa sasa, I can't see!. The party will need overhaul, good brains and talents kama kina JJM na ZZK type ndio waje at the drivers seat!.
Pasco.
inawezekana hata ulimboka walimrwakatale ,mimi hizo hisia zilipitiaga siku ya tukio.mbinu za kijasusi kufanya uhalifu then someone else take the blame.kichwani ukilewesha gongo la chadema utasema video fake.
nimeiona na taarifa za ndani kabisa toka chadema zinasema kweli rwakatale kanaswa akipika supu ya ukweli.
ludoviki huko baada ya kuminywa katapika yote.
mpaka ya ulimboka. subirini muone.
...we Pascal Mayalla...sipendi sana ku comment issue za siasa majitaka za kibongo..lakini napoona mtu anapotosha waziwazi nashindwa kuvumilia.....Umejitahidi sana ku associate issue ya Lwakatare na siasa za chadema etc......kama ambavyo umezoea ku spin mambo kwa kutegemea upepo...yoote hii katika kuganga njaa zako......Nikwambie tu...watu kama wewe ni hatari sana kwenye jamii...maana unajifanya kujua kila jambo linapotokea...na hata kuwa msemaji wa mambo wa mambo mara nyingine....Umejifanya kujiita mtaalam wa sijui AV...or HDV etc....yoote kutaka kujustify inner ill motive ulizonazo katika saga nzima ya Lwakatare......Nikwambie tu tafadhali acha...acha.....endelea na kazi zako za halali zinazokujaza tumbo lako..achana na haya mambo.....wewe si forensic expert..na wala si lawyer...wewe ni kanjanja tu mganga njaa tz........ Mkuu Erthrocyte, niko open minded kwa politics of hostilities na siasa za mbinu za medani, ambush, scheme,dupe etc ila level ya video na sound manipulation, huko bado hatujafika!, the clip is "bonafide genuine!", lets move to the next level, "was it a "solo thing" or a "party scheme?!".
If solo, then Chadema should just disown him!, if not, then it's a "scheme", and that being so!, Chadema will be in for it!, and that being the case, then its a mess!, it'll need someone very bright withn to clear such a mess, kwa waliopo at the top kwa sasa, I can't see!. The party will need overhaul, good brains and talents kama kina JJM na ZZK type ndio waje at the drivers seat!.
Pasco.
Mkuu Timing, hili la Rwakatare, nilisema hiviyou are right!!! ile ni genuine video
tatizo ni kwamba haikuhusuana na Kibanda na pia chama kinatakiwa kisijiingize kwenye hiyo rubbish kwasbabu kuna kama 15% ya chadema executives ambao ni mapandikizi na wametumwa kufanya wanachofanya, Lwakatare could be one of them
Alishindwaje uchaguzi 2010??? si kama ile case ya yule jamaa wa mbeya tu? sasa subiri utasikia zaidi ya wanaCDM wanne watatoka kukubali kwamba ile video ni genuine, na wao waliujua mpango huo na pia wanajua kwamba akina slaa na mnyika walihusika, na si ajabu wameshaanza... na tunaambiwa bado nyingine mbili
AKINA SLAA KUMTETEA LWAKATARE WAS A MISTAKE
Politics mi kama business, kuna "assets" na "liabilities", akiona biashara inayumba, you turn some assets into a liabilities kwa kuzi despose into the market ili kuongeza mtaji na kuinusuru biashara yako.
Rwakatare was an an asset, ila kwa maneno yale, has "turned into a liability!", asset ikisha turn into a liability, the only way is to dispose it!, there is no any other way!, na ukiamua kuendelea kuibeba liability ndani ya biashara yako, itaendelea kukuletea hasara!.
Tulisema huko nyuma na tutaendelea kusema, na kusema na kusema, tena, na tena na tena (hii ni verse!)
Ili Chadema iweze kuchukua nchi 2015!, its not only needs to do "the right thing!", but it got to to "things right!".
Hatua ya kwanza kabisa in doing the "right thing" and "things right" ni kuukubali "ukweli". "Seek the truth, and the truth will set you free!". Kiukweli, yale ni maneno ya Rwakatare!, Chadema waanzie hapo kwenye "ukweli", ndipo tusonge mbele!. Nimesema "negation!" ni just a short time solution kama "morphine" inavyotumiwa kwa waliojeruhiwa vibaya vitani, wanalambishwa kutuliza tuu maumivu makali!, ila morphine yenyewe sio dawa, na haitibu kitu!. Ile "negation" ya Chadema ya jana ni "morphine" tuu katika hilo jereha!. Jeraha bado lipo na kidonda kipo wide open!, dawa ni kukitibu tena mapema kabla hakijawa contaminated!.
Pasco.