Huyu anataka mkimbia tu wagawane maliHivi age hiyo mwanamke hamu inatokea sehem gan jaman..?duh...
Ashapata kiserengeti boi
Huyu anataka mkimbia tu wagawane maliHivi age hiyo mwanamke hamu inatokea sehem gan jaman..?duh...
Flat screen eh? Ndo maana una hasiraaa....mie nimebinuka balaaIla kumbuka mimi huwa situmii makalio.
Anawaka tamaa?Kukosa busara tu sijui kama mwanamke anawaka tamaa kias hicho..duh...
Unafiki tu.Bado anadaiMwanamke wa miaka 42 hana hamu? Acha uongo.
Hukuweka alama ya kuuliza.Ni statement hiyo sio question.Nimeuliza...sijasema iwe lazima..maana wengine chin ya hapo hawana hamu kbs...wewe mwanamke mwenzangu hamu ipo au haipo?
Kwa hiyo matarajio yako yamfanye mtu akose haki ya unyumba??Mimi kama hakimu, hiyo case ningeifutilia mbali...kisayansi kwa umri huo hutarajii mwanaume kuwa na sex drive kubwa na wakati mwingine kukosa kabisa...
NiliulizaHukuweka alama ya kuuliza.Ni statement hiyo sio question.
Miaka 5 hajaguswa atakosa hamu au tamaa??
InategemeaAnawaka tamaa?
Hajanyanduluwa miaka 5 unasema anawaka tamaa??!
Yeah..wewe je...? Au una hamu hapo unatusumbua sisiOk, ndio maana unafukuliwa mpaka unachafua?
Mataga upo??Ndoa zimekuwa na utata kila kukicha, sasa mtu ana miaka 62 anataka kumuaacha kwa nini? Au ndio kutaka kugawana mali mapema?
View attachment 1745639
Kwa hisani ya Dar Mpya.
Hahahaha hahahahaToa ukahaba wako hapa, pumbavu mkubwa.
Ukute yuko mpHahahaha hahahaha
Sema bhana hamu ipo??
Mbona unakua mkali dada?
Sio mahakama, wewe mlalamika ndio upeleke ushahidiMahakama ndio inamajibu
Mkuu nimeshindwa kukuunga mkono kwa swali lifuatalo.62 kwa 42, gape la miaka 20. Hapo dada anataka wagawane mali akaolewe na umri wake.
FUNZO: Wazee wenzangu tuoe umri wetu
Bado msichana.Hivi age hiyo mwanamke hamu inatokea sehem gan jaman..?duh...