Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,346
- 33,183
MWANAUME mmoja ambaye jina lake linaendelea kuhifadhiwa, ameonyesha kitendo cha ukatili cha kumfukuza usiku wa manane mkewe akiwa na kichanga baada ya kumkuta na boksi la mipira ya kiume Mwanaume huyo dereva wa shule moja maarufu jijini alimfukuza mkewe baada ya kupata hasira ya kumkuta na boksi la mipira kwa kudhani anaitumia katika ufuska na wanaume wengine bila kujua
Imedaiwa na mwanamke huyo kuwa, siku tatu nyuma alikwenda kliniki kwa ajili ya kujiunga na njia za uzazi wa mpango na kudai aliogopa kutumia njia nyingine zikiwemo sindano ,vidonge na kadhalika na manesi walimshauri atumie mipira kwani nayo ni njia moja wapo ya njia ya uzazi
Hivyo alivyokubali kutumia njia hiyo manesi walimpatia boksi la mipira hiyo ili aweze kutumia njia hiyo kwa kupanga uzazi
Mwanamke huyo amedai kuwa, alirudi nayo nyumbani na siku hiyo mume wake alitoka nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam na kurudi kesho yake ambayo ni juzi na hakupata muda mzuri wa kutosa kumueleza mume wake kuhusiana na hilo
Amedai jana mume wake alipekua katika mifuko yake na kukuta boksi hilo la mipira na kuanza varangati na fujo kwa kudhani mipira hiyo huwa naitumia kwa wanaume wengine na alipojaribu kumueleza hakumuelewa na kwa hasira alimamua kumwambia aende kwao kwa muda na hakufanya hivyo nay eye kutoa na aliporudi usiku alinikuta ndipo alisema niondoke usiku huo wka ni alimkera sana wka kumuonyesha dharau ya hali ya juu
Amedai alijaribu kumbembeleza mumewe bila mafanikio na ndipo mwanamke huyo alitoka nyumbni kwake hapo wka kuona anakaribia kupata kipigo na kuomba msa kwa jirani alale ili asubuhi apate ustaarabu kwa kuondoka kwao
Tukio hili limetokea maeneno ya Yombo Vituka jijini Dar es salaam
Hata hivyo NIFAHAMISHE inafanya juhudi kupata mahojiano mawili matatu na mume huyu ili kujua ukweli wa kina kuyhusiana na tukio hilo
Imedaiwa na mwanamke huyo kuwa, siku tatu nyuma alikwenda kliniki kwa ajili ya kujiunga na njia za uzazi wa mpango na kudai aliogopa kutumia njia nyingine zikiwemo sindano ,vidonge na kadhalika na manesi walimshauri atumie mipira kwani nayo ni njia moja wapo ya njia ya uzazi
Hivyo alivyokubali kutumia njia hiyo manesi walimpatia boksi la mipira hiyo ili aweze kutumia njia hiyo kwa kupanga uzazi
Mwanamke huyo amedai kuwa, alirudi nayo nyumbani na siku hiyo mume wake alitoka nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam na kurudi kesho yake ambayo ni juzi na hakupata muda mzuri wa kutosa kumueleza mume wake kuhusiana na hilo
Amedai jana mume wake alipekua katika mifuko yake na kukuta boksi hilo la mipira na kuanza varangati na fujo kwa kudhani mipira hiyo huwa naitumia kwa wanaume wengine na alipojaribu kumueleza hakumuelewa na kwa hasira alimamua kumwambia aende kwao kwa muda na hakufanya hivyo nay eye kutoa na aliporudi usiku alinikuta ndipo alisema niondoke usiku huo wka ni alimkera sana wka kumuonyesha dharau ya hali ya juu
Amedai alijaribu kumbembeleza mumewe bila mafanikio na ndipo mwanamke huyo alitoka nyumbni kwake hapo wka kuona anakaribia kupata kipigo na kuomba msa kwa jirani alale ili asubuhi apate ustaarabu kwa kuondoka kwao
Tukio hili limetokea maeneno ya Yombo Vituka jijini Dar es salaam
Hata hivyo NIFAHAMISHE inafanya juhudi kupata mahojiano mawili matatu na mume huyu ili kujua ukweli wa kina kuyhusiana na tukio hilo