Afrika leo tunasimama na Mexico kombe la dunia

Afrika leo tunasimama na Mexico kombe la dunia

Duh, mkuu, hapo umegusa kidonda ambacho kimekuwa kikitutesa kwa muda mrefu sana. Huo ndio uhalisia mchungu ambao unarudisha nyuma fikra za watu wengi wanaoamua kuacha kufuatilia mambo ya nchi na kuamua "kula maisha" ili kulinda afya zao za akili.

Inasikitisha sana unapoona nchi ina rasilimali kila mahali na watu wenye vipaji, lakini mfumo wa uongozi umekaa kwa namna ambayo mtu anashika dhamana kubwa ya umma lakini anajiona yeye ni "mungu mtu" badala ya kuwa mtumishi wa wananchi. Ile hofu ya "nikiboronga nitawajibishwa au nitaondolewa" haipo kabisa kwenye akili zao. Wanajua kabisa kuwa, iwe jua au mvua, nafasi zao ziko salama ilimradi wanajua jinsi ya kucheza na mfumo
Easy peasy buddy..
 
Back
Top Bottom