Asante kwa kuushusha mzigo huu kichwani kwangu, mkuu. Ngoja nilegeze tai kidogo na nicheke na maishaMkuu maisha hayapo hivyo,
Usiwe too serious kila muda,utajiletea matatizo ya kiafya bure,
Ukipata muda wa kurelax utumia ili kujirefresh.
Asante kwa kuushusha mzigo huu kichwani kwangu, mkuu. Ngoja nilegeze tai kidogo na nicheke na maishaMkuu maisha hayapo hivyo,
Usiwe too serious kila muda,utajiletea matatizo ya kiafya bure,
Ukipata muda wa kurelax utumia ili kujirefresh.
Mzee baba na me ushaniita mshenzi pia hapo 😒Its a trending discussion allover Africa past these two days, SA are on their own in this, washenzi sana hawa.
Yeye na Mimi.Wewe na nani? 😊
Usifanye mahaba yako ya Mex yawe ya wote!
Bahati mbaya sana, Tunaishi katika taifa ambalo lina viongozi wasio na accountability mindset.Ukiangalia kwa umakini, sheria, kanuni, na katiba ni makaratasi tu; hazina uzima ndani yake zenyewe. Kama kiongozi hana ile mindset (mtazamo wa ndani) wa kutumikia watu na kuwa na hofu ya kushindwa kuwajibika, atatafuta kila namna ya kupenya katikati ya hizo sheria au atazipuuza kabisa. Huwezi kuongoza kwa ufanisi kwa kutumia "fimbo ya sheria" pekee kama ndani ya moyo wa kiongozi hakuna uzalendo au utu.
kuwa kwao sawa au kutokuwa sawa haiwapi uhalali wa kufanya mauaji kwa wa-Africa wenzao, we could have murdered them as well when they came to us seeking to make freedom fighting camps, we didnt. Kama hawatutaki watuondoe kwa kufuata sheria na sio kwa mauaji.South Africa wako sawa,kika mtu abaki kwao ajenge nchi yake,wakiruhusu kilq mtu aende kwenye nchi yao,kesho wenyeji watakuwa wageni kwenye nchi yao
kila la kheri, Safari ya Mamba hata Kenge hawakosi.Am with my color code south Africa
Na mimi piaYeye na Mimi.
Duh, mkuu, hapo umegusa kidonda ambacho kimekuwa kikitutesa kwa muda mrefu sana. Huo ndio uhalisia mchungu ambao unarudisha nyuma fikra za watu wengi wanaoamua kuacha kufuatilia mambo ya nchi na kuamua "kula maisha" ili kulinda afya zao za akili.Bahati mbaya sana, Tunaishi katika taifa ambalo lina viongozi wasio na accountability mindset.
Yeye na Mimi.
Mimi nashabikia mpirakila la kheri, Safari ya Mamba hata Kenge hawakosi.
mind you, hatuwachukii South Africans, tuna send a message kwamba wanachokifanya kwa wa Africa wenzao sio sahihi. They can just send us back bila kutufanyia mauaji.
Waliokuja kutafta msaada wa ukombozi ni viongozi wao,na hawakuja kuloea huku,walikuja na kurudi kwao,sasa kwann sisi tunakuwa vinga'nganizi kwenye nchi yao? Na hata hao waliokwenda huko,wengi ni wazamiaji hawakufuata sheria,leo hii unataka waafrika kusini wafuate sheria kwa kuwaondoa? Waondoke kama walivyokuja kwa kuzamia.kuwa kwao sawa au kutokuwa sawa haiwapi uhalali wa kufanya mauaji kwa wa-Africa wenzao, we could have murdered them as well when they came to us seeking to make freedom fighting camps, we didnt. Kama hawatutaki watuondoe kwa kufuata sheria na sio kwa mauaji.
Heading imetumika kuvutia watu kutuunga mkono,Semeni nyie sasa wawili sasa, kwanini mseme "waafrika wote"! 😊
Ni sawa kusema watu wote ni masikini!
Haihalalishi wao kufanya mauaji.Waliokuja kutafta msaada wa ukombozi ni viongozi wao,na hawakuja kuloea huku,walikuja na kurudi kwao,sasa kwann sisi tunakuwa vinga'nganizi kwenye nchi yao? Na hata hao waliokwenda huko,wengi ni wazamiaji hawakufuata sheria,leo hii unataka waafrika kusini wafuate sheria kwa kuwaondoa? Waondoke kama walivyokuja kwa kuzamia.
alright, i guess i cant stop a man from enjoying football.Mimi nashabikia mpira