Afrika leo tunasimama na Mexico kombe la dunia

Afrika leo tunasimama na Mexico kombe la dunia

Kwahiyo wewe unashauri nini kifanyike Mkuu?
wewe ni mtu mzima unaweza kuamua kipi cha kufanya.
kwa kuongezea tu Wakati tabaka tawala likipitisha sheria ngumu, mikataba mibovu, au kupandisha kodi, jamii inakuwa bize kujadili nani kashinda mechi, nani kanunuliwa, au kadi nyekundu iliyotolewa kimakosa. Hasira na nguvu za wananchi zinasukumwa kwenye michezo badala ya kuelekezwa kwenye uwajibikaji wa viongozi.
 
Hata tuki focus, hatuna uwezo wa kupambana na watawala.
Last time y'all tried, Wadogo zetu wa kwenye foolish age wengi sana walipoteza maisha.
Let us enjoy our adulthood in peace, turidhike na hiki kidogo tunachopata, waiting for our D-day.
ni kweli mkuu.
Watawala wengi duniani kote—kuanzia madikteta wa zamani hadi serikali za kidemokrasia za sasa—wamekuwa wakifadhili, kujipendekeza, au kutumia matukio makubwa ya soka (kama Kombe la Dunia au ligi za ndani) ili kusafisha taswira zao na kutuliza dhoruba za kisiasa.
 
wewe ni mtu mzima unaweza kuamua kipi cha kufanya.
kwa kuongezea tu Wakati tabaka tawala likipitisha sheria ngumu, mikataba mibovu, au kupandisha kodi, jamii inakuwa bize kujadili nani kashinda mechi, nani kanunuliwa, au kadi nyekundu iliyotolewa kimakosa. Hasira na nguvu za wananchi zinasukumwa kwenye michezo badala ya kuelekezwa kwenye uwajibikaji wa viongozi.
Mkuu maisha hayapo hivyo,
Usiwe too serious kila muda,utajiletea matatizo ya kiafya bure,
Ukipata muda wa kurelax utumia ili kujirefresh.
 
IMG-20260609-WA0042.jpg
 
wewe ni mtu mzima unaweza kuamua kipi cha kufanya.
kwa kuongezea tu Wakati tabaka tawala likipitisha sheria ngumu, mikataba mibovu, au kupandisha kodi, jamii inakuwa bize kujadili nani kashinda mechi, nani kanunuliwa, au kadi nyekundu iliyotolewa kimakosa. Hasira na nguvu za wananchi zinasukumwa kwenye michezo badala ya kuelekezwa kwenye uwajibikaji wa viongozi.
Uwajibikaji ni mindset brother, its not about rules and regulations.
Unadhani mwananchi wa kawaida nawezaje ku enforce uwajibikaji kama its not on the leaders mindset at all?
All day discussion on mabaya ya viongozi as umeyataja hapo juu, yanasaidia nini on the long run?
 
ni kweli mkuu.
Watawala wengi duniani kote—kuanzia madikteta wa zamani hadi serikali za kidemokrasia za sasa—wamekuwa wakifadhili, kujipendekeza, au kutumia matukio makubwa ya soka (kama Kombe la Dunia au ligi za ndani) ili kusafisha taswira zao na kutuliza dhoruba za kisiasa.
sahihi lakini wengine hawasafishiki, mfano Trump, World cup hii yeye na nchi yake wana host lakini Dunia nzima tunasimama nyuma ya Iran in football wise sababu hatuhitaji politics kabisa kwenye maswala ya football. Nadhani Iran inaweza kuwa team pendwa sana kwa kitu ambacho Trump anawafanyia.
 
sahihi lakini wengine hawasafishiki, mfano Trump, World cup hii yeye na nchi yake wana host lakini Dunia nzima tunasimama nyuma ya Iran in football wise sababu hatuhitaji politics kabisa kwenye maswala ya football. Nadhani Iran inaweza kuwa team pendwa sana kwa kitu ambacho Trump anawafanyia.
upo sahihi kabisa kiongozi wangu
Kama ilivyokuwa dini kwa mtazamo wa Karl Marx, mpira wa miguu unafanya kazi kama "ganzi" au kileo. Unampa mtawaliwa masaa 90 ya kusahau shida zake za kiuchumi, ugumu wa maisha, na ukandamizaji anaofanyiwa, kisha anarudi kwenye uhalisia akiwa hana nguvu tena ya kuhoji.
 
Uwajibikaji ni mindset brother, its not about rules and regulations.
Unadhani mwananchi wa kawaida nawezaje ku enforce uwajibikaji kama its not on the leaders mindset at all?
All day discussion on mabaya ya viongozi as umeyataja hapo juu, yanasaidia nini on the long run?
Ukiangalia kwa umakini, sheria, kanuni, na katiba ni makaratasi tu; hazina uzima ndani yake zenyewe. Kama kiongozi hana ile mindset (mtazamo wa ndani) wa kutumikia watu na kuwa na hofu ya kushindwa kuwajibika, atatafuta kila namna ya kupenya katikati ya hizo sheria au atazipuuza kabisa. Huwezi kuongoza kwa ufanisi kwa kutumia "fimbo ya sheria" pekee kama ndani ya moyo wa kiongozi hakuna uzalendo au utu.
 
Back
Top Bottom