Oreo
Member
- Jan 31, 2017
- 9
- 6
Kama bado yupo hai
Kuna kijana nahisi kweli ni shoga huko, kwasababu alipokuwa akifanya kazi Sea Cliff hotel enzi hizo, alianza kujichubua ngozi na akawa mweupe, na alikuwa na mke na walikuwa na mtoto mmoja, lakini alibadirika ghafla na minong'ono ikaenea kwamba ni shoga, ghafla akatuambia amepata nafasi ya masomo ya upishi huko South Afrika, lakini wafanyakazi wenzake Sea Cliff wakatuambia kuna beberu lililo kuwa likihisiwa kumfanyia ujangili huo ndio lilimpeleka huko South Afrika haikujulikana kufanya nini, alitoroka familia yake na mpaka leo hakuna hajuaye alipo, hivyo kuna hisia alipelekwa huko kama kuficha watu, wasifahamu lakini pia inawezekaa ndiyo biashara yake huko, maana hana mawasiliano na familia yake huku nyumbani.
Sasa sijui haya machafuko yeye atarudia au kesha kubali kupambania hali yake huko aliko.