Afrika Kusini niijuavyo mimi

Afrika Kusini niijuavyo mimi

Kama bado yupo hai
Kuna kijana nahisi kweli ni shoga huko, kwasababu alipokuwa akifanya kazi Sea Cliff hotel enzi hizo, alianza kujichubua ngozi na akawa mweupe, na alikuwa na mke na walikuwa na mtoto mmoja, lakini alibadirika ghafla na minong'ono ikaenea kwamba ni shoga, ghafla akatuambia amepata nafasi ya masomo ya upishi huko South Afrika, lakini wafanyakazi wenzake Sea Cliff wakatuambia kuna beberu lililo kuwa likihisiwa kumfanyia ujangili huo ndio lilimpeleka huko South Afrika haikujulikana kufanya nini, alitoroka familia yake na mpaka leo hakuna hajuaye alipo, hivyo kuna hisia alipelekwa huko kama kuficha watu, wasifahamu lakini pia inawezekaa ndiyo biashara yake huko, maana hana mawasiliano na familia yake huku nyumbani.
Sasa sijui haya machafuko yeye atarudia au kesha kubali kupambania hali yake huko aliko.
 
Wanasema mnauza drugs, mnawaingiza mabinti zao kwenye ukahaba, pia human trafficking mnahusika ndo mana hawawataki. Ila kusema ukweli wapo wabongo wachache wana kazi zinazoeleweka south ila kiukweli asilimia kubwa wabongo ni wauza drugs south, tena wamejaa watoto wa magomeni, ilala, na kinondoni kibao tuu ndo wame control biashara ya drugs south kuzidi hata wanigeri. Wabongo kushirikiana na wa Pakistani wanaongoza kuuza heroin south africa. Acha tu wapigwe.
Hilo la ukahaba ni uzushi mkubwa. SA wenyewe wameridhia ushoga, afu wanyoshee kidole wengine!! Suala la drugs kwani hawana vyombo vya usalama? Mbona wageni kibao hukamatwa China lakini hawafukuzi wahamiaji? Hizo ni excuses tu, ukweli ni zaidi ya hilo.

Unajua kuwa 13% ya wasauzi ni weupe na ndio wameshika 85% ya uchumi? Hawa washenzi wameshindwa kuelewa adui yao wa kweli ni yupi, badala yake wameanza kutuhumu kila mtu. Wakimaliza wahamiaji watakuja wao kwa wao, wenye nacho na wasio nacho. Hii ni kwa sababu wameshajijengea mtazamo wa kulaumu wengine kwa kushindwa kwao.

Uchumi wa Zimbabwe ulimilikiwa na 10% ambao walikuwa walowezi weupe, nionyeshe ni kwa vipi hii iko tofauti na SA. Huu ni uhuru wa bendera, tofauti pekee ni namna walivyoamua kukabili hii hali. Zimbabwe walilaumu wazungu, SA wanalaumu wahamiaji. Zimbabwe walililia kumiliki ardhi, SA wanalilia kuajiriwa kama vibarua,kwani kazi nzuri za ujuzi naamini kuwa zinashikwa na wasauzi wenyewe.
 
Duh nami nimekumbuka nimeanzia mbali sana kikazi. Sasa enzi hizo ndiyo nilikuwa kuleee kama junior staff hahaha, unanielewa.
Nimekupata vema hasa uliponitajia doctor... Nitakutafuta... [emoji3][emoji3][emoji3]tuna mengi ya kushare
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]Announcement to all All South Africans. President Cytill Ramaphosa, Minister Bheki Cele, Minister of Home Afairs Motsoaledi you have failed the country nizoyikhomba ibhenge yomile, Sizozibambela umthetho ngezandla akufe ofayo this is our Country our Ancestors died for that you are giving to Foreigners, As Amazulu Sithukuthele siganwe unwabu sizobulala kwasani , From the 09 September 2019 at 7am whole September .All Churches , Business , Schools that are run by Foreigners must be closed they will be fire and blood. All the Tax Ranks will be closed , Hospital, All Departments to march to Homes affairs National and office of the President of Southafrica to take an urgent action against the removing all the foreigners in the country We will sleep even in the Mountains to fix this Country . The strike will go to all Provinces all cities,Township and villages . Tax owners are taking charge now .If you are foreign you should have been by the border gate as now and Aiports will be busy for The whole September we are cleaning Southafrica now. No foreigners from Nageria and Malawi,Tanzania, Congo, Ghana will be allowed in the aiports coming to Southafrica. All airports will be not operating whole September we are closing all gates and we will bunt down even the aiports in Southafrica. If the President is not taking action they will be blood all over the world. Every Business whole September must be closed down include all their Internet Cafe stations especially Hillbrow, Down town Witbank,Point Durban ,South Beach durban,Sunnyside Pretoria, Kemptonpark, Yeoville,Jhb CBD, Capetown all over ,Nelspruit and Polokwane, We are killing and destroying all their business ,Shops for clothing.We dont event want their Airlines to come to mzansi anymore. All places where they operate with Corruptions each street will be closed down .Their flats will be burnt down ,their cars they will be killed , Till all foreigners are back to their countries. Each houses that have foreigners especially in Witbank, Nelspruit, Durban and Capetown and PE,Durban .look what Omotos and Bushiri Did to our Country. South African didn't not open Churches and Business in their foreign Countries . All the freeway will be a closed down for business operators. All buildings, busines , Malls that will be operating from nextweek will be burnt down , Convoy to Pretoria. We are doing what the President Cyril Ramaphosa said # Thuma mina.We want to bring back the dignity of Southafrica not the place of Corruption and Drugs dealers .
Note
# They will be Blood and Death, Fire all all over until Southafrica is clean .Only if we are united and one this country will be clean . All foreigners Pack your staff and go within 48 hours.
# Thuma mina
# We are fixing Southafrica
# Drugs dealers must fall
# Corruption must end .
2020 Southafrica will be a place of Peace

Hali inazidi kuwa mbaya... Viongozi wa SADC wako kimya
Mungu wangu
 
Duh aisee haya maisha.....
Inawezekana walipigwa repatriation halafu wakaishia jela za Msumbiji
Aloyce Kapinga ambaye kwasasa ni marehemu aliwahi kupitia hiyo hali... Baada ya kukamatwa kule mahabusu akakutana wa wajuzi wakamwambia asiseme anatoka bongo kwakuwa atarudishwa kwa ndege bali aseme anatokea Msumbiji ambapo safari ni kwa train
Kwanini safari ya train ni nzuri? Kwa vile kuna chances za kutoroka...
Yeye alifanya hivyo na train ilipofika huko katikati mbugani kwenye kona kali ikapunguza mwendo kuepusha ajali hapa ndio maaskari wasindikizaji huwatangazia wale waliokamatwa mwenye RAND 100 atoe apewe nafasi ya kuruka kabla treni halijamaliza kona na kuongeza mwendo
Kapinga na vijana wengine wawili wakatoa... Lakini baada tu ya kutoa wakasachiwa tena na kuchukuliwa pesa zao nyingine kisha wakaruhusiwa kuruka
Kapinga aliruka na kutua salama lakini kijana mmoja alivunjika niguu yote.. Hapo hakukuwa na kusaidiana kila mmoja alijua lwake
 
Screenshot_2019-09-07-14-47-13-1.png
 
Dah huo uzi umenivutia zaidi ngoja niusabusiklaibu niko interested sana na mambo ya Budhism hadi huku mtaani wananiita Mbudha[emoji5][emoji5]
Iko hapa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

 
Nimeishi South kwa takriban miaka mitano hivi kuanzia 1996 ni mara baada ya Mandela kuachia hatamu na kumkabidhi Thabo Mbeki kijiti.... Kinachotokea sasa huko kina mizizi na ubaguzi wa rangi lakini vilevile kina mizizi na uhuru bila maandalizi mtambuka
Nisirudi nyuma sana kihistoria... Lakini wazungu wahamiaji baada ya kutua kwenye nchi nzuri ya kuvutia ya Africa Kusini, wakaitamani na kupanga mipango ya kuitawala milele.... Hili walifanikiwa kwa kiasi kikubwa mno na wasouth walipokuja kushtuka tayari wakawa kwenye 18 za wazungu
. Wakabaguliwa kwa kila hali
. Wakaundiwa matabaka
. Wakanyimwa elimu
. Wakapenyezewa vibaraka ili wapelelezane wao kwa wao
. Wakanyimwa nafasi za kazi nzuri na maisha yanayomstahili binadamu
. Wale waliogutuka na kutaka kuwakomboa wenzao wakateswa
wakafungwa,
wakazushiwa kesi kubwa kubwa,
wengine wakauliwa na
wengine wakawekwa kizuizini

Binadamu hafugiki kama mnyama... Mapambano ya kudai nchi yao na uhuru wao vikazidi kupamba moto.. Ni katika kipindi hiki wasouth kwa makabila yao yote wakawa kitu kimoja... Ikawa ni mwiko kubaguana
Yakajengwa makambi mengi ya kudai uhuru.. Sauti ikawa moja tu UKOMBOZI NA UHURU basi... Maadili mengine yote yakawekwa kando...
Uadilifu
Utu wema
Upendo
Tafakuri
Maono nknk
Haya yote yakawekwa kwenye kabrasha moja tu UKOMBOZI na UHURU.. Kwahiyo hata wanawake thamani yao ikabaki kwenye kuwahudumia wapigania uhuru...

Hatimaye baada ya mapambano ya muda mrefu sana
Dhuluma nyingi sana
Mateso mengi sana
Ukatili mwingi sana
Vifo vingi sana
UKOMBOZI na UHURU vikapatikana kwa kuachiwa Mandela na kuwa Msouth mweusi wa kwanza kuwa rais... Sasa kazi haikuwa ndogo kuwaheshimisha tena weusi... Kuwapa thamani wanayostahili.. Baada ya kudhauliwa kwa miongo mingi

Mipango mingi ikapangwa... Mojawapo ikiwa ni kuwapatia wasouth wote weusi huduma za msingi bure ama kwa bei nafuu.. Mkakati maarufu ni ule wa nyumba million za Mandela....
Fungate ya UKOMBOZI na UHURU vikawabetesha wengi... Wataliwa wakawa watawala bila maandalizi ya kutosha... Bila elimu ya kutosha bila miiko bila uzalendo vya kutosha...
Kasheshe ikaanzia hapa... Kila Msouth mweusi hakutaka tena kuishi kwenye vibanda... Wakataka nyumba za bure za Mandela.. Bati unanunua mwenyewe.... Nyumba za vyumba vitatu... Basi ikawa mtu akiiipata nyumba, akawa na TV ndani na mziki mkubwa basi huyo kawin maisha hataki chochote tena...

UKOMBOZI na UHURU vikawapa jeuri mbaya sana.. Ile nguvu kazi ya taifa ambao asilimia 90 ni vijana wakawa na nguvu kubwa kwenye maamuzi... Msouth mwisho wake wa kufanya kazi ni Ijumaa mchana... Baada ya hapo mlipe chake akalakale bata mpaka Jumapili jioni... Jumatatu anaamka na nauli tu...
Haya ndio yakawa maisha yao... Ndani ya nchi yao huru.....

Uhuru wa Afrika Kusini ukafungua milango kwa mataifa mengine... Wawekezaji wapya wakaja.. Lakini pia watafuta maisha wengine toka mataifa mengine pia hasa ya kiafrika wakamiminika south.. Hawa wakawa hawana shobo wala maringo.. Hawachagui kazi.. Hawachagui maslahi na wanapiga mzigo hadi Jumapili

Wawekezaji wakaona tofauti kubwa kati ya mgeni na mwenyeji... Wakaona tija ya utendaji wa wageni.... Kidogo kidogo wasouth wakaanza kukosa kazi... Wageni wakawa kimbilio la wawekezaji wengi... Wanasiasa wakachelewa kuliona hili... Wakawa busy na yao

Wasouth kuja kushtuka kazi nyingi zikawa zinafanywa na wageni
Wageni wengi wana maendeleo kuliko wao
Wageni wengi wanapendwa na wawekezaji kuliko wao... Chuki ikaanzia hapo...

Wakaanza taratibu kuwadhibiti wageni
Ukitaka Kuishi nao vizuri fuata watakayo wao
Ukitaka Kuishi nao vizuri usiwe na maendeleo yoyote
Ukitaka Kuishi nao vizuri kila weekend mkale bata
Ukitaka kuishi nao vizuri usimiliki Nyumba nzuri, gari au mwanamke mzuri.....

Ukifanya tofauti na haya
Wanakujengea bifu
Wanatafuta watu wakupore
Wanatafuta watu wakupige
Wanakuhmchongea Uhamiaji
Wanakuroga usifanikiwe

Wageni kuja kugundua haya wakabadili mbinu nyingi.... Sasa miongo imepita... Wageni ndio wenye mafanikio kule... Wenyeji bado wako kwenye mawazo mgando ya UKOMBOZI na UHURU.... Bado wako kwenye fungate wakidhani serikali itawafanyia kila kitu... Sasa hawana aibu tena hawawataki wageni kwasababu ya uvivu wao.... Ni mwendo wa mauaji

#RIP Charles (Mak. ma)
#RIP SundiOmolo
#RIP Makaveli
#RIP Kapinga
# RIP Mandy
My college mates.... Wote hawa vifo vyao vilitokana na mikono dhalimu ya weusi wenzao

Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mungu kwakuwa nilinusurika kifo mara nne nikiwa South
Mara ya kwanza ghetto kwa demu... Nilitoroka kupitia dirisha dogo la chooni wakati jamaa wanavunja mlango waingie wanimalize...
Mara ya pili bar ya Zithobeni niliwahi kuikwepa chupa ya bia in split of seconds nikiwa na demu huyo huyo wa kule ghetto
Mara ya tatu usiku huo huo nilitekwa ila nikafanikiwa kuruka kwenye gari na kujisalimisha kwa police waliokuwa kwenye patrol
Mara ya NNE kwenye kanisa la kuabudu shetani Witbank.... [emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]

Maybe I was left to tell...!!!
Samahani mshana jr kwa swali hili, hv una miaka mingapi? Yaan naona kwenye kila jambo una experience
 
Mungu akupe maisha marefu. Una vingi wewe mtu vya kutusimulia wadogo zako
 
Nimeishi South kwa takriban miaka mitano hivi kuanzia 1996 ni mara baada ya Mandela kuachia hatamu na kumkabidhi Thabo Mbeki kijiti.... Kinachotokea sasa huko kina mizizi na ubaguzi wa rangi lakini vilevile kina mizizi na uhuru bila maandalizi mtambuka
Nisirudi nyuma sana kihistoria... Lakini wazungu wahamiaji baada ya kutua kwenye nchi nzuri ya kuvutia ya Africa Kusini, wakaitamani na kupanga mipango ya kuitawala milele.... Hili walifanikiwa kwa kiasi kikubwa mno na wasouth walipokuja kushtuka tayari wakawa kwenye 18 za wazungu
. Wakabaguliwa kwa kila hali
. Wakaundiwa matabaka
. Wakanyimwa elimu
. Wakapenyezewa vibaraka ili wapelelezane wao kwa wao
. Wakanyimwa nafasi za kazi nzuri na maisha yanayomstahili binadamu
. Wale waliogutuka na kutaka kuwakomboa wenzao wakateswa
wakafungwa,
wakazushiwa kesi kubwa kubwa,
wengine wakauliwa na
wengine wakawekwa kizuizini

Binadamu hafugiki kama mnyama... Mapambano ya kudai nchi yao na uhuru wao vikazidi kupamba moto.. Ni katika kipindi hiki wasouth kwa makabila yao yote wakawa kitu kimoja... Ikawa ni mwiko kubaguana
Yakajengwa makambi mengi ya kudai uhuru.. Sauti ikawa moja tu UKOMBOZI NA UHURU basi... Maadili mengine yote yakawekwa kando...
Uadilifu
Utu wema
Upendo
Tafakuri
Maono nknk
Haya yote yakawekwa kwenye kabrasha moja tu UKOMBOZI na UHURU.. Kwahiyo hata wanawake thamani yao ikabaki kwenye kuwahudumia wapigania uhuru...

Hatimaye baada ya mapambano ya muda mrefu sana
Dhuluma nyingi sana
Mateso mengi sana
Ukatili mwingi sana
Vifo vingi sana
UKOMBOZI na UHURU vikapatikana kwa kuachiwa Mandela na kuwa Msouth mweusi wa kwanza kuwa rais... Sasa kazi haikuwa ndogo kuwaheshimisha tena weusi... Kuwapa thamani wanayostahili.. Baada ya kudhauliwa kwa miongo mingi

Mipango mingi ikapangwa... Mojawapo ikiwa ni kuwapatia wasouth wote weusi huduma za msingi bure ama kwa bei nafuu.. Mkakati maarufu ni ule wa nyumba million za Mandela....
Fungate ya UKOMBOZI na UHURU vikawabetesha wengi... Wataliwa wakawa watawala bila maandalizi ya kutosha... Bila elimu ya kutosha bila miiko bila uzalendo vya kutosha...
Kasheshe ikaanzia hapa... Kila Msouth mweusi hakutaka tena kuishi kwenye vibanda... Wakataka nyumba za bure za Mandela.. Bati unanunua mwenyewe.... Nyumba za vyumba vitatu... Basi ikawa mtu akiiipata nyumba, akawa na TV ndani na mziki mkubwa basi huyo kawin maisha hataki chochote tena...

UKOMBOZI na UHURU vikawapa jeuri mbaya sana.. Ile nguvu kazi ya taifa ambao asilimia 90 ni vijana wakawa na nguvu kubwa kwenye maamuzi... Msouth mwisho wake wa kufanya kazi ni Ijumaa mchana... Baada ya hapo mlipe chake akalakale bata mpaka Jumapili jioni... Jumatatu anaamka na nauli tu...
Haya ndio yakawa maisha yao... Ndani ya nchi yao huru.....

Uhuru wa Afrika Kusini ukafungua milango kwa mataifa mengine... Wawekezaji wapya wakaja.. Lakini pia watafuta maisha wengine toka mataifa mengine pia hasa ya kiafrika wakamiminika south.. Hawa wakawa hawana shobo wala maringo.. Hawachagui kazi.. Hawachagui maslahi na wanapiga mzigo hadi Jumapili

Wawekezaji wakaona tofauti kubwa kati ya mgeni na mwenyeji... Wakaona tija ya utendaji wa wageni.... Kidogo kidogo wasouth wakaanza kukosa kazi... Wageni wakawa kimbilio la wawekezaji wengi... Wanasiasa wakachelewa kuliona hili... Wakawa busy na yao

Wasouth kuja kushtuka kazi nyingi zikawa zinafanywa na wageni
Wageni wengi wana maendeleo kuliko wao
Wageni wengi wanapendwa na wawekezaji kuliko wao... Chuki ikaanzia hapo...

Wakaanza taratibu kuwadhibiti wageni
Ukitaka Kuishi nao vizuri fuata watakayo wao
Ukitaka Kuishi nao vizuri usiwe na maendeleo yoyote
Ukitaka Kuishi nao vizuri kila weekend mkale bata
Ukitaka kuishi nao vizuri usimiliki Nyumba nzuri, gari au mwanamke mzuri.....

Ukifanya tofauti na haya
Wanakujengea bifu
Wanatafuta watu wakupore
Wanatafuta watu wakupige
Wanakuhmchongea Uhamiaji
Wanakuroga usifanikiwe

Wageni kuja kugundua haya wakabadili mbinu nyingi.... Sasa miongo imepita... Wageni ndio wenye mafanikio kule... Wenyeji bado wako kwenye mawazo mgando ya UKOMBOZI na UHURU.... Bado wako kwenye fungate wakidhani serikali itawafanyia kila kitu... Sasa hawana aibu tena hawawataki wageni kwasababu ya uvivu wao.... Ni mwendo wa mauaji

#RIP Charles (Mak. ma)
#RIP SundiOmolo
#RIP Makaveli
#RIP Kapinga
# RIP Mandy
My college mates.... Wote hawa vifo vyao vilitokana na mikono dhalimu ya weusi wenzao

Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mungu kwakuwa nilinusurika kifo mara nne nikiwa South
Mara ya kwanza ghetto kwa demu... Nilitoroka kupitia dirisha dogo la chooni wakati jamaa wanavunja mlango waingie wanimalize...
Mara ya pili bar ya Zithobeni niliwahi kuikwepa chupa ya bia in split of seconds nikiwa na demu huyo huyo wa kule ghetto
Mara ya tatu usiku huo huo nilitekwa ila nikafanikiwa kuruka kwenye gari na kujisalimisha kwa police waliokuwa kwenye patrol
Mara ya NNE kwenye kanisa la kuabudu shetani Witbank.... [emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]

Maybe I was left to tell...!!!
Pole sana,
Ila serikali ililala sana,hawa watu wa chini wanatakiwa kusaidiwa,lazima mipango ya muda mrefu iwekwe.
Na hili swala la kuchukia wahamiaji,halipo SA tu.
Tumeona "white suplimist" huko ulaya na USA,wanachowafanyia weusi.
Swali la kujiuliza,kwanini wahamiaji wanakuwa wengi wanaomiminika SA?wengi wao wanatafuta ajira!huko kwao hazipo!Zambia,Zimbabwe!msumbiji.
SA inabidi idhibiti wahamiaji wanaosaka ajira!hata kama SA uchumi ni mzuri,hauwezi kusuport Africa nzima.
Hebu fikiria nusu ya wakenya kama milioni 25,wakihamia Bongo!itakuwaje,wanataka ajira!makazi! Chakula!
Hari itakuwa mbaya sana.
Viongozi wa kisiasa,wajenge uchumi wa nchi zao,ili RAIA wasiwe na sababu ya kukimbia.
Wahamiaji bora,ni wale wanaokuja kuwekeza.
Hebu fikiria ukiwa na watu kama Dangote,Bakhresa,Kama mia hivi!wote waje SA kuwekeza,kuna mwenyeji ataleta kelele!
Lakini una watu kama laki hivi,wanapiga mishe za uber,maduka ya rejareja,walinzi,madereva!hawa hawaleti kitu,wanachukua kitu,lazima mwenyeji atamind tu!
 
R. I. P mwanangu njugu rado
R. I. P ndugu Ali mpemba
R. I. P ndugu makavii
R. I. P mku wetu Rama wa mwanza
R. I. P kaka mkubwa wa zenji
Na wengi ambao nimewasahau, lkn tunasema kama mabaharia tusostushwa na mawimbi wa baharini mapambano bdo yanaendelea haturudi nyuma
 
Nimeishi South kwa takriban miaka mitano hivi kuanzia 1996 ni mara baada ya Mandela kuachia hatamu na kumkabidhi Thabo Mbeki kijiti.... Kinachotokea sasa huko kina mizizi na ubaguzi wa rangi lakini vilevile kina mizizi na uhuru bila maandalizi mtambuka
Nisirudi nyuma sana kihistoria... Lakini wazungu wahamiaji baada ya kutua kwenye nchi nzuri ya kuvutia ya Africa Kusini, wakaitamani na kupanga mipango ya kuitawala milele.... Hili walifanikiwa kwa kiasi kikubwa mno na wasouth walipokuja kushtuka tayari wakawa kwenye 18 za wazungu
. Wakabaguliwa kwa kila hali
. Wakaundiwa matabaka
. Wakanyimwa elimu
. Wakapenyezewa vibaraka ili wapelelezane wao kwa wao
. Wakanyimwa nafasi za kazi nzuri na maisha yanayomstahili binadamu
. Wale waliogutuka na kutaka kuwakomboa wenzao wakateswa
wakafungwa,
wakazushiwa kesi kubwa kubwa,
wengine wakauliwa na
wengine wakawekwa kizuizini

Binadamu hafugiki kama mnyama... Mapambano ya kudai nchi yao na uhuru wao vikazidi kupamba moto.. Ni katika kipindi hiki wasouth kwa makabila yao yote wakawa kitu kimoja... Ikawa ni mwiko kubaguana
Yakajengwa makambi mengi ya kudai uhuru.. Sauti ikawa moja tu UKOMBOZI NA UHURU basi... Maadili mengine yote yakawekwa kando...
Uadilifu
Utu wema
Upendo
Tafakuri
Maono nknk
Haya yote yakawekwa kwenye kabrasha moja tu UKOMBOZI na UHURU.. Kwahiyo hata wanawake thamani yao ikabaki kwenye kuwahudumia wapigania uhuru...

Hatimaye baada ya mapambano ya muda mrefu sana
Dhuluma nyingi sana
Mateso mengi sana
Ukatili mwingi sana
Vifo vingi sana
UKOMBOZI na UHURU vikapatikana kwa kuachiwa Mandela na kuwa Msouth mweusi wa kwanza kuwa rais... Sasa kazi haikuwa ndogo kuwaheshimisha tena weusi... Kuwapa thamani wanayostahili.. Baada ya kudhauliwa kwa miongo mingi

Mipango mingi ikapangwa... Mojawapo ikiwa ni kuwapatia wasouth wote weusi huduma za msingi bure ama kwa bei nafuu.. Mkakati maarufu ni ule wa nyumba million za Mandela....
Fungate ya UKOMBOZI na UHURU vikawabetesha wengi... Wataliwa wakawa watawala bila maandalizi ya kutosha... Bila elimu ya kutosha bila miiko bila uzalendo vya kutosha...
Kasheshe ikaanzia hapa... Kila Msouth mweusi hakutaka tena kuishi kwenye vibanda... Wakataka nyumba za bure za Mandela.. Bati unanunua mwenyewe.... Nyumba za vyumba vitatu... Basi ikawa mtu akiiipata nyumba, akawa na TV ndani na mziki mkubwa basi huyo kawin maisha hataki chochote tena...

UKOMBOZI na UHURU vikawapa jeuri mbaya sana.. Ile nguvu kazi ya taifa ambao asilimia 90 ni vijana wakawa na nguvu kubwa kwenye maamuzi... Msouth mwisho wake wa kufanya kazi ni Ijumaa mchana... Baada ya hapo mlipe chake akalakale bata mpaka Jumapili jioni... Jumatatu anaamka na nauli tu...
Haya ndio yakawa maisha yao... Ndani ya nchi yao huru.....

Uhuru wa Afrika Kusini ukafungua milango kwa mataifa mengine... Wawekezaji wapya wakaja.. Lakini pia watafuta maisha wengine toka mataifa mengine pia hasa ya kiafrika wakamiminika south.. Hawa wakawa hawana shobo wala maringo.. Hawachagui kazi.. Hawachagui maslahi na wanapiga mzigo hadi Jumapili

Wawekezaji wakaona tofauti kubwa kati ya mgeni na mwenyeji... Wakaona tija ya utendaji wa wageni.... Kidogo kidogo wasouth wakaanza kukosa kazi... Wageni wakawa kimbilio la wawekezaji wengi... Wanasiasa wakachelewa kuliona hili... Wakawa busy na yao

Wasouth kuja kushtuka kazi nyingi zikawa zinafanywa na wageni
Wageni wengi wana maendeleo kuliko wao
Wageni wengi wanapendwa na wawekezaji kuliko wao... Chuki ikaanzia hapo...

Wakaanza taratibu kuwadhibiti wageni
Ukitaka Kuishi nao vizuri fuata watakayo wao
Ukitaka Kuishi nao vizuri usiwe na maendeleo yoyote
Ukitaka Kuishi nao vizuri kila weekend mkale bata
Ukitaka kuishi nao vizuri usimiliki Nyumba nzuri, gari au mwanamke mzuri.....

Ukifanya tofauti na haya
Wanakujengea bifu
Wanatafuta watu wakupore
Wanatafuta watu wakupige
Wanakuhmchongea Uhamiaji
Wanakuroga usifanikiwe

Wageni kuja kugundua haya wakabadili mbinu nyingi.... Sasa miongo imepita... Wageni ndio wenye mafanikio kule... Wenyeji bado wako kwenye mawazo mgando ya UKOMBOZI na UHURU.... Bado wako kwenye fungate wakidhani serikali itawafanyia kila kitu... Sasa hawana aibu tena hawawataki wageni kwasababu ya uvivu wao.... Ni mwendo wa mauaji

#RIP Charles (Mak. ma)
#RIP SundiOmolo
#RIP Makaveli
#RIP Kapinga
# RIP Mandy
My college mates.... Wote hawa vifo vyao vilitokana na mikono dhalimu ya weusi wenzao

Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mungu kwakuwa nilinusurika kifo mara nne nikiwa South
Mara ya kwanza ghetto kwa demu... Nilitoroka kupitia dirisha dogo la chooni wakati jamaa wanavunja mlango waingie wanimalize...
Mara ya pili bar ya Zithobeni niliwahi kuikwepa chupa ya bia in split of seconds nikiwa na demu huyo huyo wa kule ghetto
Mara ya tatu usiku huo huo nilitekwa ila nikafanikiwa kuruka kwenye gari na kujisalimisha kwa police waliokuwa kwenye patrol
Mara ya NNE kwenye kanisa la kuabudu shetani Witbank.... [emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]

Maybe I was left to tell...!!!
In deed you were left to tell

Weusi SA hawaitambui historia yao wamejawa na visasi bila kutambua kujikimu kwao ni juhudi zao sio kwa njia ya kunung'unika tuuuuuu
Hawa watu wavivu sana
Biashara ya sembe imeiharibu sana Hii nchi

Natumaini nightmares zitakuwa zimeanza kupotea pole sana kwa majaribu
 
Back
Top Bottom