Afrika Kusini niijuavyo mimi

Afrika Kusini niijuavyo mimi

Huyo mwanamke kama alikuwa mzuru jamaa wale wangekuua,nilikuwa kule course flani tulitembelea soweto uswahilini
nilimpenda binti akaniomba nimuache sababu wazuru hawatahiriwi na mwanamke wa kizulu kutoka na mgeni ingeonekana amewazarau wazuru wenzake hiyo iliniuma sàna
 
R. I. P mwanangu njugu rado
R. I. P ndugu Ali mpemba
R. I. P ndugu makavii
R. I. P mku wetu Rama wa mwanza
R. I. P kaka mkubwa wa zenji
Na wengi ambao nimewasahau, lkn tunasema kama mabaharia tusostushwa na mawimbi wa baharini mapambano bdo yanaendelea haturudi nyuma
[emoji1019] [emoji1019] [emoji1019]
[emoji1019] [emoji1019] [emoji1019]
[emoji1019] [emoji1019] [emoji1019]
[emoji1019] [emoji1019] [emoji1019]
 
In deed you were left to tell

Weusi SA hawaitambui historia yao wamejawa na visasi bila kutambua kujikimu kwao ni juhudi zao sio kwa njia ya kunung'unika tuuuuuu
Hawa watu wavivu sana
Biashara ya sembe imeiharibu sana Hii nchi

Natumaini nightmares zitakuwa zimeanza kupotea pole sana kwa majaribu
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji123][emoji109][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Huyo mwanamke kama alikuwa mzuru jamaa wale wangekuua,nilikuwa kule course flani tulitembelea soweto uswahili
nilimpenda binti akaniomba nimuache sababu wazuru hawatahiriwi na mwanamke wa kizulu kutoka na mgeni ingeonekana amewazarau wazuru wenzake hiyo iliniuma sàna
Walidhamiria kunimaliza bahati nzuri binti alikuwa katoka nje na kulock mlango hivyo akawa anapambana nao wasimtoe mlangoni ndio nikapata upenyo nikaingia chooni nikalock mlango kwa ndani nikatokea kwenye dirisha dogo la chooni
 
Walidhamiria kunimaliza bahati nzuri binti alikuwa katoka nje na kulock mlango hivyo akawa anapambana nao wasimtoe mlangoni ndio nikapata upenyo nikaingia chooni nikalock mlango kwa ndani nikatokea kwenye dirisha dogo la chooni
dah iyo inaitwa kupona chupu chupa kwenye tundu la dirisha Mkuu,atlest upo wewe unayetupa experience ya S.A ubarikiwe
 
Wakorofi sana lile kabila si wanawake si wanaume

Kweli hata wanawake wao ni wakorofi sana kwani during those good days niliwahi kuwa na girlfriend wa ANC nikiwa nasoma naye huko Dodoma basi ilikuwa kila siku ya Disco chuoni lazima anipige maana alikuwa na wivu ile mbaya halafu alikuwa ananizidi umri, mwili na maguvu yaani basi tu utundu wangu ulinifanya niendelee kuwa naye..akivua nguo kama wewe ni mwoga unaweza kimbia maana huo mwili wake ulikuwa na makovu na manundunundu mwili mzima utafikiri aliwahi kugombana na chui kumbe alijeruhiwa na bomu la ardhini wakati anatoroka kupitia Msumbiji.
 
Nimeishi South kwa takriban miaka mitano hivi kuanzia 1996 ni mara baada ya Mandela kuachia hatamu na kumkabidhi Thabo Mbeki kijiti.... Kinachotokea sasa huko kina mizizi na ubaguzi wa rangi lakini vilevile kina mizizi na uhuru bila maandalizi mtambuka
Nisirudi nyuma sana kihistoria... Lakini wazungu wahamiaji baada ya kutua kwenye nchi nzuri ya kuvutia ya Africa Kusini, wakaitamani na kupanga mipango ya kuitawala milele.... Hili walifanikiwa kwa kiasi kikubwa mno na wasouth walipokuja kushtuka tayari wakawa kwenye 18 za wazungu
. Wakabaguliwa kwa kila hali
. Wakaundiwa matabaka
. Wakanyimwa elimu
. Wakapenyezewa vibaraka ili wapelelezane wao kwa wao
. Wakanyimwa nafasi za kazi nzuri na maisha yanayomstahili binadamu
. Wale waliogutuka na kutaka kuwakomboa wenzao wakateswa
wakafungwa,
wakazushiwa kesi kubwa kubwa,
wengine wakauliwa na
wengine wakawekwa kizuizini

Binadamu hafugiki kama mnyama... Mapambano ya kudai nchi yao na uhuru wao vikazidi kupamba moto.. Ni katika kipindi hiki wasouth kwa makabila yao yote wakawa kitu kimoja... Ikawa ni mwiko kubaguana
Yakajengwa makambi mengi ya kudai uhuru.. Sauti ikawa moja tu UKOMBOZI NA UHURU basi... Maadili mengine yote yakawekwa kando...
Uadilifu
Utu wema
Upendo
Tafakuri
Maono nknk
Haya yote yakawekwa kwenye kabrasha moja tu UKOMBOZI na UHURU.. Kwahiyo hata wanawake thamani yao ikabaki kwenye kuwahudumia wapigania uhuru...

Hatimaye baada ya mapambano ya muda mrefu sana
Dhuluma nyingi sana
Mateso mengi sana
Ukatili mwingi sana
Vifo vingi sana
UKOMBOZI na UHURU vikapatikana kwa kuachiwa Mandela na kuwa Msouth mweusi wa kwanza kuwa rais... Sasa kazi haikuwa ndogo kuwaheshimisha tena weusi... Kuwapa thamani wanayostahili.. Baada ya kudhauliwa kwa miongo mingi

Mipango mingi ikapangwa... Mojawapo ikiwa ni kuwapatia wasouth wote weusi huduma za msingi bure ama kwa bei nafuu.. Mkakati maarufu ni ule wa nyumba million za Mandela....
Fungate ya UKOMBOZI na UHURU vikawabetesha wengi... Wataliwa wakawa watawala bila maandalizi ya kutosha... Bila elimu ya kutosha bila miiko bila uzalendo vya kutosha...
Kasheshe ikaanzia hapa... Kila Msouth mweusi hakutaka tena kuishi kwenye vibanda... Wakataka nyumba za bure za Mandela.. Bati unanunua mwenyewe.... Nyumba za vyumba vitatu... Basi ikawa mtu akiiipata nyumba, akawa na TV ndani na mziki mkubwa basi huyo kawin maisha hataki chochote tena...

UKOMBOZI na UHURU vikawapa jeuri mbaya sana.. Ile nguvu kazi ya taifa ambao asilimia 90 ni vijana wakawa na nguvu kubwa kwenye maamuzi... Msouth mwisho wake wa kufanya kazi ni Ijumaa mchana... Baada ya hapo mlipe chake akalakale bata mpaka Jumapili jioni... Jumatatu anaamka na nauli tu...
Haya ndio yakawa maisha yao... Ndani ya nchi yao huru.....

Uhuru wa Afrika Kusini ukafungua milango kwa mataifa mengine... Wawekezaji wapya wakaja.. Lakini pia watafuta maisha wengine toka mataifa mengine pia hasa ya kiafrika wakamiminika south.. Hawa wakawa hawana shobo wala maringo.. Hawachagui kazi.. Hawachagui maslahi na wanapiga mzigo hadi Jumapili

Wawekezaji wakaona tofauti kubwa kati ya mgeni na mwenyeji... Wakaona tija ya utendaji wa wageni.... Kidogo kidogo wasouth wakaanza kukosa kazi... Wageni wakawa kimbilio la wawekezaji wengi... Wanasiasa wakachelewa kuliona hili... Wakawa busy na yao

Wasouth kuja kushtuka kazi nyingi zikawa zinafanywa na wageni
Wageni wengi wana maendeleo kuliko wao
Wageni wengi wanapendwa na wawekezaji kuliko wao... Chuki ikaanzia hapo...

Wakaanza taratibu kuwadhibiti wageni
Ukitaka Kuishi nao vizuri fuata watakayo wao
Ukitaka Kuishi nao vizuri usiwe na maendeleo yoyote
Ukitaka Kuishi nao vizuri kila weekend mkale bata
Ukitaka kuishi nao vizuri usimiliki Nyumba nzuri, gari au mwanamke mzuri.....

Ukifanya tofauti na haya
Wanakujengea bifu
Wanatafuta watu wakupore
Wanatafuta watu wakupige
Wanakuhmchongea Uhamiaji
Wanakuroga usifanikiwe

Wageni kuja kugundua haya wakabadili mbinu nyingi.... Sasa miongo imepita... Wageni ndio wenye mafanikio kule... Wenyeji bado wako kwenye mawazo mgando ya UKOMBOZI na UHURU.... Bado wako kwenye fungate wakidhani serikali itawafanyia kila kitu... Sasa hawana aibu tena hawawataki wageni kwasababu ya uvivu wao.... Ni mwendo wa mauaji

#RIP Charles (Mak. ma)
#RIP SundiOmolo
#RIP Makaveli
#RIP Kapinga
# RIP Mandy
My college mates.... Wote hawa vifo vyao vilitokana na mikono dhalimu ya weusi wenzao

Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mungu kwakuwa nilinusurika kifo mara nne nikiwa South
Mara ya kwanza ghetto kwa demu... Nilitoroka kupitia dirisha dogo la chooni wakati jamaa wanavunja mlango waingie wanimalize...
Mara ya pili bar ya Zithobeni niliwahi kuikwepa chupa ya bia in split of seconds nikiwa na demu huyo huyo wa kule ghetto
Mara ya tatu usiku huo huo nilitekwa ila nikafanikiwa kuruka kwenye gari na kujisalimisha kwa police waliokuwa kwenye patrol
Mara ya NNE kwenye kanisa la kuabudu shetani Witbank.... [emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]

Maybe I was left to tell...!!!
Inasikitisha sana, ila nimecheka sana eti mara ya nne ulinusurika ukiwa kwenye church of Satan!
 
Kweli hata wanawake wao ni wakorofi sana kwani during those good days niliwahi kuwa na girlfriend wa ANC nikiwa nasoma naye huko Dodoma basi ilikuwa kila siku ya Disco chuoni lazima anipige maana alikuwa na wivu ile mbaya halafu alikuwa ananizidi umri, mwili na maguvu yaani basi tu utundu wangu ulinifanya niendelee kuwa naye..akivua nguo kama wewe ni mwoga unaweza kimbia maana huo mwili wake ulikuwa na makovu na manundunundu mwili mzima utafikiri aliwahi kugombana na chui kumbe alijeruhiwa na bomu la ardhini wakati anatoroka kupitia Msumbiji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila nawapendea kitu kimoja tuuu sio wachoyo hata kidogo.... Anaweza kukupa mgongo mpaka ukapiga yowe la utamu[emoji12][emoji12][emoji12][emoji87][emoji87][emoji86][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila nawapendea kitu kimoja tuuu sio wachoyo hata kidogo.... Anaweza kukupa mgongo mpaka ukapiga yowe la utamu[emoji12][emoji12][emoji12][emoji87][emoji87][emoji86][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Nafikiri zamani hiyo ilikuwa dhambi la sivyo huyo mmama angeniambia tu kwani hakuwa anajua kuficha kiu yake ambayo roho yake inapenda, ilikuwa akitaka saa yoyote basi utatafutwa kama umeua na akiniona tu utasikia amri tu "Tangulia kwa Posta au kama ni usiku twende kwa minyaa yetu"
 
Walidhamiria kunimaliza bahati nzuri binti alikuwa katoka nje na kulock mlango hivyo akawa anapambana nao wasimtoe mlangoni ndio nikapata upenyo nikaingia chooni nikalock mlango kwa ndani nikatokea kwenye dirisha dogo la chooni
Sipati picha jamaa walikuwa wanaimba zile nyimbo zao za ukombozi wakiwa na magongo mkononi
 
"We are doing what the President Cyril Ramaphosa said # Thuma mina"





Inaonekana hili lina baraka toka serikali ya Ramaphosa
 
Nafikiri zamani hiyo ilikuwa dhambi la sivyo huyo mmama angeniambia tu kwani hakuwa anajua kuficha kiu yake ambayo roho yake inapenda, ilikuwa akitaka saa yoyote basi utatafutwa kama umeua na akiniona tu utasikia amri tu "Tangulia kwa Posta au kama ni usiku twende kwa minyaa yetu"
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sipati picha jamaa walikuwa wanaimba zile nyimbo zao za ukombozi wakiwa na magongo mkononi
Hapana wanapumuaga kwa nguvu... Wanatoa mimacho halafu wanasema I'NGOOZI basi hapo kimbia
 
Back
Top Bottom