mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,061
- 7,742
Wapo waliowapa pesa Kisha wakawapakia mkongo na kayembe shentemba mpaka kufia kwenye vinena vyao na bado wakalizwa.
Wapo waliowahonga magari ,pesa kedekede na mauno ya lokasa ya mbongo na bado wakaachwa!.
Wapo waliochagua kuishi nao kwa akili km yasemavyo maandiko lakini mwisho wa Siku Wakawa vichaa wao..!!
Ni kwa huruma Yao pekee ndio unaweza kupata utulivu toka kwao na sio kwa fikra au ujanja wako..Usishindane na uliko toka , acha kabisa kupambana na mbunye!!
Wapo waliowahonga magari ,pesa kedekede na mauno ya lokasa ya mbongo na bado wakaachwa!.
Wapo waliochagua kuishi nao kwa akili km yasemavyo maandiko lakini mwisho wa Siku Wakawa vichaa wao..!!
Ni kwa huruma Yao pekee ndio unaweza kupata utulivu toka kwao na sio kwa fikra au ujanja wako..Usishindane na uliko toka , acha kabisa kupambana na mbunye!!