Wa South wanaweza kuwa na hoja ya wao kutengwa na uchumi nchini mwao lakini sio kuwauwa weusi wenzao.
Ukakasi wa vurugu hizi mbona hauwagusi Wazungu,Waarabu,Wachina,Wahindi na Jamii nyingine nyeupe wahamiaji wanaoishi nchini humo?Kwanini ni ndugu zao weusi tu wanawaua,kuwaharibia mali,nk?
Halafu mara nyingi vurugu zao huwa hazitamalaki sana Johannesburg, wanaogopa mikono ya mabeberu itaeashughulikia kwa sababu ya uwekezaji mkubwa wa mabeberu au?
Mshana Jr hebu jipinde kutudadavulia kwa haya mawili niliyouliza.