Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,733
Madhehu ya kilokole, Mashahidi wa Yehova nk waache kujifanya wanajua kuondoa matatizo ya watu yawe ulemavu, vifo, kukosa pesa, kupata wachumba nk, ni utapeli mtupuHili jambo limewatia aibu karibu walokole wote duniani
View attachment 1032982
Bila shaka walokole wa Tanzania mna cha kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app