Afrika kuna raha yake, hata Bombadier tunasukuma

Afrika kuna raha yake, hata Bombadier tunasukuma

Rwanda ni kama nusu ya morogoro.

Na maendeleo ya South Africa hayajaletwa na marais wao, walishatafuniwa kila kitu. Wageni walitaka kuimiliki moja kwa moja ndio maana waliwekeza sana
Kama makaburu ni wageni, basi wangoni ni wageni zaidi. Kumbuka Wangoni wamefika lini kusini na kwa sababu gani. Mphekhane. Hivyo tuanze na wangoni basi.
 
Yani ukiwa na stress na huna cha kufanya wewe tufuta tu habari na vituko kuhusu Africa
 
Na maendeleo ya South Africa hayajaletwa na marais wao, walishatafuniwa kila kitu. Wageni walitaka kuimiliki moja kwa moja ndio maana waliwekeza sana[/QUOTE]
actually walipokuja ngozi nyeusi imerudi nyuma, subiri aingie Malema, itakuwa kama somalia
 
Usilinganishe USA tuanze na South Afrika tuliowasaidia kupata Uhuru wapo wapi. Au Rwanda waliouana 1994 na shirika lao lilivyo na ndege. Kiufupi tumejiroga half tukamwua mganga
Hebu acha kutufananisha na Rwanda pili unaijua south Africa ilikotoka na inakoelekea.

Hii ndo sababu ya kujivisha utalamu kila sehemu
 
Hebu acha kutufananisha na Rwanda pili unaijua south Africa ilikotoka na inakoelekea.

Hii ndo sababu ya kujivisha utalamu kila sehemu
Unajua orodha ya nchi tulizokua nazo sawa kiuchumi mwaka 1961 na leo ziko wapi
 
Unajua orodha ya nchi tulizokua nazo sawa kiuchumi mwaka 1961 na leo ziko wapi
Hebu zitaje hizo nchi halafu compare kila kitu cha kipindi hicho kuanzi kwenye idadi educated people and uneducated people
 
Jomba kang'ang'ania tu mguu kati, kweli katikati pazuri
 
Back
Top Bottom