DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,612
- 30,109
Mdogo mdogo
Tutafika tu
Tutafika tu
South Africa imepata uhuru 1910 ila ulikabidhiwa Kwa Boers aka Makaburu wao wakaanzisha Ubaguzi wa rangi na utawala wa Wachache (Ma Boers na baadhi ya weusi wachache)ambao uliisha baada ya Mandela kufunguliwa 1990 na baadae uchaguzi huru 1994 ambao ANC ilishinda. NB Boers ni wazaliwa wa South Africa ingawa wana asili ya ulaya hata lugha yao Afrikaan iko tofauti na pale ni km kwao ndio maana walipaendeleza bila kufikiria km kuna siku wataondoka.Ni 1994 mkuu, na asilimia zaidi ya 60 ya maendeleo waliyakuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu ile imekufa kifo kibaya sana,,,, nasikia hata ukipiga kiki haistuki chaliiiii
Kuishi Bara la Afrika kuna raha yake mojawapo ni urahisi wa baadhi ya mambo, hata ndege aina ya Bombadier tunasukuma kwa mikono yetu. View attachment 773564
Una akili za kukoroga kama uji, bure kabisa weweemkuu ile imekufa kifo kibaya sana,,,, nasikia hata ukipiga kiki haistuki chaliiiii