[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kuishi Bara la Afrika kuna raha yake. Mojawapo ni kwamba hata ndege aina ya Bombadier tunasukuma kwa mikono yetu. View attachment 773564
Ni 1994 mkuu, na asilimia zaidi ya 60 ya maendeleo waliyakutasouth africa wamepata uhuru lini?? miaka ya 1996 huko
Hao unao wazingumziani aibu na u zezeta kabisa kwa karne hii bado unakua msindikizaji huku kila siku ukijisemea "tutafika tuu'............. wenzako wakati wanafika wewe ulikua wapi??
Au ilishindwa kusimama ikapitiliza mpaka kwenye nyasiBetri imeisha chaji sasa wanabusti kwa reverse
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] senge sana weweHapo ni jino moja tu kitu inajibu,Nadhani ni tatizo la betri tu[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sasa anafanya nini hapo kama mbinu za maendeleo hamna?! Washabiki wa jamaa mnatia hurumaRwanda ni kama nusu ya morogoro.
Na maendeleo ya South Africa hayajaletwa na marais wao, walishatafuniwa kila kitu. Wageni walitaka kuimiliki moja kwa moja ndio maana waliwekeza sana
Hapa kunauwezekano wa kuaghirisha safari, Sasa ikileta taatizo huko juu abiri mazishi saa kumi, nateremka japo wanirudishie nusu nauliKuishi Bara la Afrika kuna raha yake. Mojawapo ni kwamba hata ndege aina ya Bombadier tunasukuma kwa mikono yetu. View attachment 773564
Bwihi [emoji16] [emoji16] Mkuu.. Si unaona hata jamaa kashika kiuno, inamaana ana wazo kama lakoHapa kunauwezekano wa kuaghirisha safari, Sasa ikileta taatizo huko juu abiri mazishi saa kumi, nateremka japo wanirudishie nusu nauli
[emoji1] [emoji1] Bora Mimi nitaomba kuteremka yeye ndio hapandi kabisa [emoji1] [emoji1]Bwihi [emoji16] [emoji16] Mkuu.. Si unaona hata jamaa kashika kiuno, inamaana ana wazo kama lako
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Yaani hapo anatabiri kabisa kwamba yajayo yanahatarisha usalama
Ndo mfumo wake wa ndege.. Lakini kusukumwa ni kwa gari zake Maalum na si kwa mikono ndo nimekusudia hivyo..!Mkuu Ghazwat acha ushamba bhana, hata Ulaya ndege zinasukumwa sana tu sababu ndege haina gia ya reverse.
View attachment 773859
Sema tu kwamba wenzetu Ulaya wanayo magari maalumu ya kuzivuta au kuzisukuma ndege zao.