Africa's First Ladies...nani Zaidi?

Lucy kafanana na mumewe Kibaki, sura zao kama ndugu atii!! Utafikiri mtu na kaka yake vile. Loohhh!!
 
Wakulu huyo wa DRC hamjamwona? Mi naona katulia kiania. of course wa mswati pembeni
 

Shamba la kale rahisi kulilima tena [sic].
 
AChana na watoto wa kitusi wazeiya huyo mama Kagame si mchezo hata yule mama Museveni naye duh si mchezo wadau enzi za ujana wao nadhani likuwa soo
 



hapo akiwa kwenye pozi la kawaida kabisa

na hapa akitasabamu
 
hivi watoto wa hao wazee wa kenya wakoje
 

Jeannette Kagame - Rwanda!​

Bw. Kiroboto sema basi...picha hio super!!!!!!

Kama Political federation then i would have love to start fedarating with Rwandese!
Hapa Mungu 'took his time' aisee.

Jamani Lucy K i guess na uzee unachangia...
 
Lucy Kibaki is the best....... Number one most beatiful first lady..............!!!!!!!!!!!!!!
 


President Jacob Zuma poses for photographs his three wives, Sizakele MaKhumalo (right), Nompumelelo Ntuli (left) and Thobeka Mabhija (second left), after the State of The Nation address in Parliament on June 3.


<DT class=wp-caption-dt> <DT class=wp-caption-dt>From top left to bottom right: Ida Odinga wife of Kenyan prime minister, First Ladies Laraba Tandja of Niger, Penehupifo Pohamba of Namibia, Thandiwe Banda of Zambia, Maria da Luz Dai Guebuza of Mozambique, Mathato Sarah Mosisili of Lesotho, Sia Nyama Koroma of Sierra Leone, Adelcia Barreto Pires of Cape Verde, Chantal Biya of Cameroon, Ana Paula Dos Santos of Angola, Queen Inkhosikati LaMbikiza of Swaziland and Turai Umaru Yar'Adua of Nigeria.




First Lady Chantal Biya Cameroon



<DT class=wp-caption-dt>

First Lady Lucy Kibaki Kenya

First Lady Jeannette Kagame Rwanda

First Lady Suzanne Mubarak Egypt


First Lady Janet Museveni Uganda

First Lady Vivian Wade Senegal (left)

First Lady Grace Marufu Mugabe Zimbabwe



First Lady Zineb Jammeh Gambia


First Lady Marie Olive Kabila Democratic Republic of Congo

First Lady Chantal Compaoré Burkina Faso

First Lady Adelcia Pires Cape Verde


Her Excellency Mrs. Thandiwe Banda


















</DT>
 
Wadau mwenye picha ya mke wa Dr Slaa aiweke hapa tuone angefananaje na First Ladies wengine
 
Kazi kweli macho yangu yote kwa uzuri wa first lady wa tanzania... Na kwa baunsa wa kenya maana anatoa kipondo balaa hadi mitaaa inafungwa....
 
Sitaki kuudhi watu sana labda kwa vile nina "kasumba," ila ngoja niseme tu kuwa akina first lady wa kiafrika huku ukanda wa kwetu (East, Central and South) wakishapata kula laini huwa wananenepeana sana kiasi kuwa mme hawezi kumbeba tena. Nilishaona akina first lady wa wenzetu ni portable sana, lakini wa kwetu sisi ni mizinga ya bomba twende mbele, na hasa hawa wa karne hii.

Kwa mfano mama wa Tanzania ninamfahamu sana wakati akiwa mwalimu wa msingi pale Sinza alikuwa kidogo ni portable, lakini leo hii mzinga wa bomba. Huenda umri unachangia ingawa mama Clinton na dada Condoleeza wana umri mkubwa kuliko wengi wa hawa akina first lady wetu. Wa kabila labda ujana bado unadai.
 

Kichunguu unazungumzia first ladies wakati hao wanawake wa kawaida na wabunge si wembamba!

Unene ni ufaghari kwetu na kuonekana 'mama' kuna hadhi ya aina yake.

Mwembamba ana roho mbaya, mnene karidhika na maisha wenyewe wanakwambia, suala la balanced diet na mazowezi sahau hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…